Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuonyeshe wewe zikiwa hko kw hyo modern unayoisema zikihudumia 4-7 km ulivyo conclude ya kwamba huku haziji
Ingia google itakusaidia uheheheh siku utapata kilimanjaro 4 imepanda hapo mm nafunga acc leo 🤣🤣🤣🤣
 
Mtu anaibuka anaanza kumzungumzia Magu kikawaida kawaida, hao maprofesa wenyewe kina Lumumba pale walitii, kitu gani hakujua? Ukimleta kwenye sheria anakutajia sheria yote ya Tanzania, ukimleta kwenye sayansi yeye dokta, ukimleta kwenye engineering anakutajia mpk makosa yako kwamba hili dirisha umeongeza idadi ya misumari, ukimleta kwenye hesabu ndo nyumbani anajua samaki wote wa Tanzania kwa idadi yake, ukimleta kwenye ugunduzi keshawafundisha wazungu kwamba hiki kirusi msijifungie muishi nacho jamani, yn wazungu wanamjua vzr [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Magu utamuongopea nini wewe anajua kila kitu duniani hapa so itoshe tu kusema Once upon a time there was John Pombe Joseph Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingia google itakusaidia uheheheh siku utapata kilimanjaro 4 imepanda hapo mm nafunga acc leo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunatumia conclusion yako ya kwamba haijawahi, sasa tuletee wewe zikiwa hko zanzibar..
Lkn pole kw kushinda google siku nzima na kuambulia patupu
 
Nimepita january 2020 haya nioneahe update pics kua hio barabara imejengwa upya ukipata unitag nifunge acc sasa hvi[emoji1787][emoji1787]
Mbovu wapi hko nikupe update sai jomba!!
Alafu we ni mrongo sana[emoji23][emoji23]
Leo nataka nikukamate
 
Hapo sijataja vitu vingi mfano modern terminals, roads mpk uswahilini, sijataja BRT, sijataja mikataba ya faida kwa nchi mfano kabanga Nickel na dhahabu ya barrick, sijataja silos kila mkoa, sijata abattoirs, sijataja viwanda mfano cha ngozi kule Kilimanjaro, sijataja modern airpots, sijataja ports, sijataja ferries, sijataja big ships zinazojengwa maziwani yn sijataja vitu vingi. And all that is just for only five years, so unapoona Watz wakaanza kumtukuza Magu msidhani walikuwa wanapenda jamani huyu mtu ni wa ajabu sana sana sana, ndiyo maana niliwahi kusema sidhani kama ubongo wake walimwacha azikwe nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwn nyie ndio mumeanza kuvifanya sai hvo
Alafu ukumbuke bado madudu yamejaa km sisimizi vile, nianze sai kukupa
 
IMG_1618603380.311152.jpg
 
Msipende kuokoteza dhambi saa nyingine jihurumieni, mkijua ya kwamba miaka 70 ya hapa duniani ni tunaji qualify either kuingia Mbinguni au motoni, siku zote ogopa anaye weza kukuamuru ila akakupa uhuru hasira zake hazivumiliki. Kisasi ni cha Mungu. Ila mwenye kudhihaki na azidi kudhihaki, na mwenye kuenenda vema na azidi sana.
Alaf swali la kujiuliza magufuli anawahusu nn wakenya hilo ndio swali muhimu zaidi, na kama hawahusu kwann wanamchukia jibu ni moja tu, wanaona wivu kuona tanzania imefanikiwa pakubwa sana kwenye wakati wake na kawabana sana hasa kwenye madini ya tanzanite
 
Leta update ya hio barabara mm nifunge acc sasa hvi kwanzia mombasa mpaka malindi barabara mbovu
Nenda kabishane mirembe, ukitaka tuendelee na huu mjadala kisomi na kiutu uzima nitajie hzo sehemu mbovu..
Lkn eti ukianza utoto bishana pekeako
 
Kulikuwa kuna mvutano wa international Airport kujengwa huko Mara, ni either Mugumu au Serengeti... Walikuwa wanazozana uwanja uwe wapi na upewe jina gani... Vipi ndio huu sasa international unajengwa au huu ni mwingine?
Nafkiri ndio huu kutoka mara kwenda serengeti is just like 30km or 35km
 
Unamchukiae Raisi ambaye sio wako? Ukiona hvyo huyo Rais maamuzi yake yaligusa mpk nchi yako yn kwa kifupi alikuwa na impact mpk kwenye maisha yako mfano Waafrika wengi tulikuwa tunamchukia Trump [emoji118][emoji118] [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mfano hai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kabishane mirembe, ukitaka tuendelee na huu mjadala kisomi na kiutu uzima nitajie hzo sehemu mbovu..
Lkn eti ukianza utoto bishana pekeako
🤣🤣🤣🤣🤣 umekasirika sasa ulijua hapo hutoki na ungejibu tu ukaona saaa hvi au unafkiri tupo huko huko hatuyajui ama??
 
Back
Top Bottom