Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,719
- 107,165
Wakuu, anayejua CAG alilipwa na nani kutengeneza ile ripoti yake anijuze tafadhali. Nina hamu ya kujua nani na nani wanatuuza!
Pia yule aliyesema hatuna wataalam hivyo makandarasi na makonsaltant wa nje waje na wataalam wao mpeni hizi salamu.
Nilishangaa sana yule mwendawazimu alipodai mradi wetu wa JNHPP unatumia feasibility study ya mwaka 70. Hebu mtazame mwenyewe mtaalamu wetu mzalendo akitema madini hapo.
Lol, poor guyz, Tanzanias.Ukabila na ubaguzi unawatafuna wakunya hadi kwenye ubongo.
Mpk hivi tunavyoongea kwa hapa Dar sijawahi kuona hospitali ya serikali ikakosa Tv labda kitambo sana au km ipo kwa ss basi vijijini huko and not Dar.
Yah ila nmeshuka [emoji529]Mkuu ulikua unaelekea g mboto na [emoji579] ya jioni nn
Naona leo unawashwawashwa huko nyuma au kuna kipele nini?Jamaa alikua mshamba sana yani [emoji23]View attachment 1753818
Hapa mada hukwepi kabisa, je kw nini wazungu wa lenya mnawakataa na kuwaita wageni[emoji23][emoji23]Nani kakuambia hapa naongea? Hapa naandika tu.
Karne ya 21 bado mnabaguana na kuchinjana kisa makabila!
Halafu huwa hii mada ya ukabila inakuchoma kama pasi...inaelekea ushawahi kubaguliwa kisa kabila lako.
Msipende kuokoteza dhambi saa nyingine jihurumieni, mkijua ya kwamba miaka 70 ya hapa duniani ni tunaji qualify either kuingia Mbinguni au motoni, siku zote ogopa anaye weza kukuamuru ila akakupa uhuru hasira zake hazivumiliki. Kisasi ni cha Mungu. Ila mwenye kudhihaki na azidi kudhihaki, na mwenye kuenenda vema na azidi sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji382][emoji382]View attachment 1753820
Kwhyo haya sio mazungumzo sio[emoji848]Nani kakuambia hapa naongea? Hapa naandika tu.
Karne ya 21 bado mnabaguana na kuchinjana kisa makabila!
Halafu huwa hii mada ya ukabila inakuchoma kama pasi...inaelekea ushawahi kubaguliwa kisa kabila lako.
Km ni akina gujirati mbona sawa tu[emoji23]Matajiri wa bongo nyie mnawajua wkt matajiri wa Kenya sijui hata mmoja, u know what richest people in Tz are also richest people in Kenya and other countries in the region utake usitake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikujibu kama ifuatavyo, ishu hapo co tu kurudi shule bali anatakiwa aende jela miaka 30 kama ambavyo wa kiume anavyopelekwa jela, huwezi kuniambia eti ameshawishiwa na wa kiume kwn yeye akili hana? So hakuna kurudi shule kwa kijana wa kike aliyeanza mchezo mchafu shuleni na kama baba ake ake au mama ake anataka arudi shule hamna shida ampeleke private na sio arudi Govt akafundishe umalaya wenzie.Umesoma hii article Kweli? Maana inaongelea sababu za wangi wa Mimba za utotoni huko Meru, Kenya.
Na kama elimu ni haki ya kila mtoto hapa Tanzania, Kwa nini watoto waliopata ujauzuto wisipate hiyo haki? Denying them access to attend school violates their constitutional right to education!
Hili swala si la kukurupuka kusema kuwa hao watoto wasiende shule si la busara. Unaposema watoto hawa waliopata ujauzito wasirudi shule ni Sawa na kuwaondolea fursa kujiendeleza kimaisha. Wakifukuzwa shule watoto hawa it is highly likely wanaangukia kwenye Kuolewa, wanakubwa na Ugumu wa maisha, wanakuwa discriminated na jamii, ambayo huwapelekea kuwa prone to mental health issues na depression, na bila kusahau kiujumla wanaingia kwenye Wimbi la umasikini. Mtu mwenye potential ya kujiendeleza kielimu anaishia kuuza karanga huku akitafuta kwa ajili ya yeye na mtoto wake.
Inabidi tujiulize Kwa nini Afrika Ndiyo inayoongoza duniani kwa underage pregnancies! Kwasababu jamii zetu na familia kiujumla zinachangia kwa kiasi Kikubwa kwenye Hili swala. Hatuwapi watoto wetu sex education. Ni familia chache sana za kiafrika/ kitanzania unakuta wazazi wanaelimisha watoto wao kuhusu mambo ya adolescence na kujikinga! Ndio, kuna watoto wanaosikia wakiambiwa jambo lakini lazima kuwepo na wale wasiosikia na ni vyema kushauri watumie Kinga ili kujilinda dhidi ya mimba na magonjwa ya ngono kama HIV/AIDS!
Na hii elimu isiwe Kwa wasichana tu Bali na watoto wa kiume. Unakuta Mzazi anamkanya mtoto wake wa kike halafu hamkanyi yule wa kiume. Matokeo yake? Yule wa kiume Ndio anaenda kumpa Mimba mtoto wa mzazi mwingine!
Kiufupi ni vyema kuwaelimisha watoto wetu na kama kwa bahati mbaya mtoto amepata ujauzito kuwepo na program za kuwaruhusu warudi shule. Baada ya kujifungua inabidi mtoto msichana arudi shule na shuleni kuwepo na counseling services za kuwasaidia hawa watoto Maana mara nyingi huwa nwanaathirika kisaikolojia.
Inabidi Jamii zetu zibadilike kwanza ili tuone matokeo. Kukatisha masomo ya wanafunzi au kuwafunga will NEVER break the cycle! Lakini kwa wale watoto wanaopata ujauzito kutokana na sexual assault, inatakiwa wafanyiwe counseling services na watu responsible wachukuliwe Hatua za kisheria.
Ninakaribisha maoni yenu.
Ni wageni ndio na hilo halina ubishi.Hapa mada hukwepi kabisa, je kw nini wazungu wa lenya mnawakataa na kuwaita wageni[emoji23][emoji23]
Ama wewe ubawakubali km raia halali wa kenya?
Sema nikuelewe manake unaruka ruka sana
Kwhyo unamaanisha Mama kampa rushwa CAG, we kweli unajielewa jamani..Je unaamini kwamba CAG ni msema kweli daima? Sasa kama ni msema kweli mbn hakuweka wazi kipindi kile cha mwamba? Kama alifungwa mdomo it means anaweza akaingiliwa na mamlaka ya juu, sasa kama anaweza kuingiliwa na mamlaka ya juu kwnn hutaki kuamini anachosema mwenzio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wapi tulikutana tukaanza kuzungumza?Kwhyo haya sio mazungumzo sio[emoji848]
Kafungue kesi mahakamani kuhusu hayo madai yako kukiko kukaa hku na kujifariji tu, au nyie hko hamjafika levels hzoHivi kwa upotoshaji huu wa CAG, anapaswa kweli kuendelea kuwepo ofisini?
[emoji848][emoji848][emoji848]
April inaisha hii, au mumeshasogeza mbele tena km kawaida yenuWakuu hii ngoma tuamini kwamba mwaka huu tunaipanda, hapa ni kuanzia kipande cha Buguruni kwa Bakhressa mbele yake mpk karibu na Vingunguti.View attachment 1753879View attachment 1753880View attachment 1753882View attachment 1753885View attachment 1753886View attachment 1753887View attachment 1753890View attachment 1753891View attachment 1753892
Sent using Jamii Forums mobile app
CAG anateuliwa na Raisi...kulinda ugali wake lazima awe mpole Raisi akiwa mkali...sasa uyu alivyoambiwa usiwe na lugha tata ndio kaongea yaliyomoJe unaamini kwamba CAG ni msema kweli daima? Sasa kama ni msema kweli mbn hakuweka wazi kipindi kile cha mwamba? Kama alifungwa mdomo it means anaweza akaingiliwa na mamlaka ya juu, sasa kama anaweza kuingiliwa na mamlaka ya juu kwnn hutaki kuamini anachosema mwenzio?
Sent using Jamii Forums mobile app