Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi huyu jamaa aliwakera nini wakunya? Ushamba wake we shoga unakuhusu nini?

Hivi wewe ni rijali kweli timamu unaemkashfu mwanaume kuwa mshamba? Hiyo ni comment ya wanawake towards men sio wanaume.
Hadi akifufuka tena Akufe [emoji88][emoji23]
Screenshot_20210416-181409.jpg
 

Attachments

  • EzGR-ItWQAAbiFd.jpg
    EzGR-ItWQAAbiFd.jpg
    45.8 KB · Views: 25
Hakuna binadamu duniani aliliwa kama Magufuli, hiyo ni record imewekwa ulimwenguni, he was the most loved human ever happened in our modern time na mpaka kesho bado analiliwa

Anaesema alifurahi ni maumivu na uchungu kuona how he was disappointed by public justice

Mpaka kesho anakumbukwa, UN breaking up its usual schedule just for JPM
Record imewekwa na nani? [emoji23][emoji23][emoji23]wacha ujinga. No one loved jpm.. Mfuate jehanamu anapoteketea
Screenshot_20210416-181409.jpg
 
[emoji115][emoji115]Hahahaha hivi somo la logic ulipata ngapi vilee[emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205][emoji200][emoji200]

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatafuta pa kutokea, naona kw sasa umebakiza emojis[emoji23][emoji23]
CAG ni mzalendo bana ndio manake kaamua kuwasomea madudu nyie
 
He deserved nothing but death [emoji23][emoji382][emoji88] huko jehanamuView attachment 1754017
Yap he deserved death for us because even Jesus died for us, and one day even u will die utake usitake, sema ss wewe hata ukifa sawa tu cz huna mchango wowote duniani hapa zaidi ya kuongeza idadi ya walaji wasio na faida.

Sasa ona the deceased Magu alichofanya for only 5yrs, amazing walahi na lazima uchukie punda wewe!!!!!!
[emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji116][emoji116]

1. Amejenga reli ya umeme of its kind, never seen before in East and Central Africa and may be in Africa as well.

2. Amejenga bwawa la umeme kubwa na ni miongoni mwa mabwawa makubwa Africa na duniani and upon completion tutakuwa na umeme mwingi wa bei nafuu na mwingine unaobaki tutawauzia nyie maskini wa fikra ili muepukane na unnecessary black outs.

3. Ameipokonya Kenya bomba la mafuta ambalo lingetengeneza ajira nyingi na kupunguza uhaba wa ajira unaokusumbua mpk wewe ameleta ajira ktk nchi yake aliyoipenda kutoka moyoni.

4. Amejenga hospitali nyingi na vituo vya afya kila kona na ndiyo sababu hakutaka kwenda popote kutibiwa cz ali invest mno kwenye afya so akaona km inashindikana kutibiwa nyumbani wacha nife tu cz Tz ina kila kitu.

5. Amejenga ukuta kule mirerani ili kuzuia "chawa" Kenya, India na SA kuiba Tanzanite yetu.

6. Amejenga Ikulu kubwa duniani japo tunayo nyingine nzr lkn kajenga tu kudhihirisha sisi ni super power ukanda huu na tunaweza kufanya lolote [emoji1787][emoji1787]

7. Amejenga flyovers za kisasa na alitaka kujenga nyingi mpk Chato kudadadeki [emoji3][emoji3]

8. Amejenga madaraja mengi mno mengine yamevunja rekodi ya kipekee kabisa hapa Afrika.

9. Amefufua shirika la ndege kwa kununua ndege za kisasa, mpya na zingine tunazo sisi pekee etu Afrika hii na kwa kushangaza zaidi on cash basis [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

10. Amejenga masoko ya kisasa mpk uswahilini.

11. Amesambaza umeme vijiji vyote Tz kwa bei ya sh 27000 tu ukitaka kujua namaanisha nn ibadilishe hiyo elfu 27 tsh kwenda kshs[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

12. Amefufua shirika la reli lililojifia kwa zaidi ya miaka 30.

13. Amepeleka maji safi na salama vijijini.

Mengine ngoja niachie tu kuna kazi nafanya hapa nitarudi kukuonesha kwanini watanzania walivunja rekodi kumzika huyu mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba JNHP linajengwa kwa feasibility study ya 70s? Na mbn wataalamu wamekanusha kisomi ss? Si atokeze abishe walichosema wataalamu?[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji200][emoji200]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanabisha kimitazamo au kisomi[emoji23][emoji23]
Watoe hyo feasibility study ya karne hii km wana pumbu mbili kweli..

Eti atokeze abishe, inakuaje feasibility study hyo ya kisomi isikuwepo kule kwa mkaguzi mkuu wa serekali..
Wasibishe waichukue wampelekee akaikague km alivyoikagua ile ya 70s
 
Yap he deserved death for us because even Jesus died for us, and one day even u will die utake usitake, sema ss wewe hata ukifa sawa tu cz huna mchango wowote duniani hapa zaidi ya kuongeza idadi ya walaji wasio na faida.

Sasa ona the deceased Magu alichofanya for only 5yrs, amazing walahi na lazima uchukie punda wewe!!!!!!
[emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji116][emoji116]

1. Amejenga reli ya umeme of its kind, never seen before in East and Central Africa and may be in Africa as well.

2. Amejenga bwawa la umeme kubwa na ni miongoni mwa mabwawa makubwa Africa na duniani and upon completion tutakuwa na umeme mwingi wa bei nafuu na mwingine unaobaki tutawauzia nyie maskini wa fikra ili muepukane na unnecessary black outs.

3. Ameipokonya Kenya bomba la mafuta ambalo lingetengeneza ajira nyingi na kupunguza uhaba wa ajira unaokusumbua mpk wewe ameleta ajira ktk nchi yake aliyoipenda kutoka moyoni.

4. Amejenga hospitali nyingi na vituo vya afya kila kona na ndiyo sababu hakutaka kwenda popote kutibiwa cz ali invest mno kwenye afya so akaona km inashindikana kutibiwa nyumbani wacha nife tu cz Tz ina kila kitu.

5. Amejenga ukuta kule mirerani ili kuzuia "chawa" Kenya, India na SA kuiba Tanzanite yetu.

6. Amejenga Ikulu kubwa duniani japo tunayo nyingine nzr lkn kajenga tu kudhihirisha sisi ni super power ukanda huu na tunaweza kufanya lolote [emoji1787][emoji1787]

7. Amejenga flyovers za kisasa na alitaka kujenga nyingi mpk Chato kudadadeki [emoji3][emoji3]

8. Amejenga madaraja mengi mno mengine yamevunja rekodi ya kipekee kabisa hapa Afrika.

9. Amefufua shirika la ndege kwa kununua ndege za kisasa, mpya na zingine tunazo sisi pekee etu Afrika hii na kwa kushangaza zaidi on cash basis [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

10. Amejenga masoko ya kisasa mpk uswahilini.

11. Amesambaza umeme vijiji vyote Tz kwa bei ya sh 27000 tu ukitaka kujua namaanisha nn ibadilishe hiyo elfu 27 tsh kwenda kshs[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

12. Amefufua shirika la reli lililojifia kwa zaidi ya miaka 30.

13. Amepeleka maji safi na salama vijijini.

Mengine ngoja niachie tu kuna kazi nafanya hapa nitarudi kukuonesha kwanini watanzania walivunja rekodi kumzika huyu mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji115][emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Choko master, komora na mashashola the gay someni mzidishe chuki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap he deserved death for us because even Jesus died for us, and one day even u will die utake usitake, sema ss wewe hata ukifa sawa tu cz huna mchango wowote duniani hapa zaidi ya kuongeza idadi ya walaji wasio na faida.

Sasa ona the deceased Magu alichofanya for only 5yrs, amazing walahi na lazima uchukie punda wewe!!!!!!
[emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji116][emoji116]

1. Amejenga reli ya umeme of its kind, never seen before in East and Central Africa and may be in Africa as well.

2. Amejenga bwawa la umeme kubwa na ni miongoni mwa mabwawa makubwa Africa na duniani and upon completion tutakuwa na umeme mwingi wa bei nafuu na mwingine unaobaki tutawauzia nyie maskini wa fikra ili muepukane na unnecessary black outs.

3. Ameipokonya Kenya bomba la mafuta ambalo lingetengeneza ajira nyingi na kupunguza uhaba wa ajira unaokusumbua mpk wewe ameleta ajira ktk nchi yake aliyoipenda kutoka moyoni.

4. Amejenga hospitali nyingi na vituo vya afya kila kona na ndiyo sababu hakutaka kwenda popote kutibiwa cz ali invest mno kwenye afya so akaona km inashindikana kutibiwa nyumbani wacha nife tu cz Tz ina kila kitu.

5. Amejenga ukuta kule mirerani ili kuzuia "chawa" Kenya, India na SA kuiba Tanzanite yetu.

6. Amejenga Ikulu kubwa duniani japo tunayo nyingine nzr lkn kajenga tu kudhihirisha sisi ni super power ukanda huu na tunaweza kufanya lolote [emoji1787][emoji1787]

7. Amejenga flyovers za kisasa na alitaka kujenga nyingi mpk Chato kudadadeki [emoji3][emoji3]

8. Amejenga madaraja mengi mno mengine yamevunja rekodi ya kipekee kabisa hapa Afrika.

9. Amefufua shirika la ndege kwa kununua ndege za kisasa, mpya na zingine tunazo sisi pekee etu Afrika hii na kwa kushangaza zaidi on cash basis [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

10. Amejenga masoko ya kisasa mpk uswahilini.

11. Amesambaza umeme vijiji vyote Tz kwa bei ya sh 27000 tu ukitaka kujua namaanisha nn ibadilishe hiyo elfu 27 tsh kwenda kshs[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

12. Amefufua shirika la reli lililojifia kwa zaidi ya miaka 30.

13. Amepeleka maji safi na salama vijijini.

Mengine ngoja niachie tu kuna kazi nafanya hapa nitarudi kukuonesha kwanini watanzania walivunja rekodi kumzika huyu mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Madudu kibao[emoji23][emoji23]
 
Madudu kibao[emoji23][emoji23]
Hapo sijataja vitu vingi mfano modern terminals, roads mpk uswahilini, sijataja BRT, sijataja mikataba ya faida kwa nchi mfano kabanga Nickel na dhahabu ya barrick, sijataja silos kila mkoa, sijata abattoirs, sijataja viwanda mfano cha ngozi kule Kilimanjaro, sijataja modern airpots, sijataja ports, sijataja ferries, sijataja big ships zinazojengwa maziwani yn sijataja vitu vingi. And all that is just for only five years, so unapoona Watz wakaanza kumtukuza Magu msidhani walikuwa wanapenda jamani huyu mtu ni wa ajabu sana sana sana, ndiyo maana niliwahi kusema sidhani kama ubongo wake walimwacha azikwe nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo sijataja vitu vingi mfano modern terminals, roads mpk uswahilini, sijataja BRT, sijataja mikataba ya faida kwa nchi mfano kabanga Nickel na dhahabu ya barrick, sijataja silos kila mkoa, sijata abattoirs, sijataja viwanda mfano cha ngozi kule Kilimanjaro, sijataja modern airpots, sijataja ports, sijataja ferries, sijataja big ships zinazojengwa maziwani yn sijataja vitu vingi. And all that is just for only five years, so unapoona Watz wakaanza kumtukuza Magu msidhani walikuwa wanapenda jamani huyu mtu ni wa ajabu sana sana sana, ndiyo maana niliwahi kusema sidhani kama ubongo wake walimwacha azikwe nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Komora kama nasema uongo niambie [emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enhee!!umepitia lini hyo barabara, alafu ni mbovu wapi hko..
Leo nataka kukamata mtu makende kw mara nyingine tena
Nimepita january 2020 haya nioneahe update pics kua hio barabara imejengwa upya ukipata unitag nifunge acc sasa hvi🤣🤣
 
Back
Top Bottom