ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Sasa hutaki tweets ya waziri mwenye dhamana wa kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bado huo pia ni utoto mzee wa kuleta tweets hku
Sasa hutaki tweets ya waziri mwenye dhamana wa kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bado huo pia ni utoto mzee wa kuleta tweets hku
40- 20 lease - 17 loan = hebu jibu hapo🤣🤣Msaidie mwenzio
🤣🤣🤣🤣🤣 anakwambia macharia sio waziri wake sasa sijui ni waziri wa nini locusts labdaNi swali gani umemuuliza akashindwa kukujibu zaidi ya kuimba taarabu humu?
Zaidi ya kukana tweet ya Waziri mwenye dhamana kwenye transport ni swali gani umemuuliza?
Kq iko chini wizara gani na inasimamia na waziri gani hapo kenya 🤣🤣🤣🤣🤣Tweet ina uhusiano gani na KQ, we unafikiria kenya airways ni km atcl mtu yyte ana uwezo wa kuiendesha atakavyo
👇👇👇👇👇😆😆😆😆😆Kiongozi wa cabinet ni nani?
Leo hamtaki macharia 😁😁😁Jifunze kuelewa ....wacha ujinga.....
Lakini lina ndege mpya 12 brand new ukiringanisha na shirika liko miaka 40 lina ndege tatu chakavu na bado loss ya billions ksh ziko juu yameza miaka 10 🤣🤣🤣🤣Na ni kweli haifanani, km shirika lilifikia mpka level ya kufa na kuzikwa we unafikiria tutafanana kweli..
ATCL faida kwake mwiko
ingekuwa kenya ingeitwa BRT phase 2B
Kwani serekali haina share kq ??🤣🤣 na kama serekali ina share kq iko chini ya wizara gani ?? Na bungeni ni wizara huongelea budget ya kq 😂😂😂 akili kichwani mwakoKuteuliwa ndio kusimamia, we kweli pumba..yani uteuliwe ndio ukasimamie shirika ambalo sio fully government owned, we una akili kweli
Compare 333m usd against 27m usd alaf utuambie ni shule gani umesoma 🤣🤣🤣Facts boss facts, you think eith the routes you have you will ever sight profit?
Sasa ndani ya parliament kwanini kq inaongelewa na iko ndani ya budget 😃😃 na ni wizara gani hupeleka mswaada wa kq bungeni...akili imeganda kwenye kipapaKuteuliwa ndio kusimamia, we kweli pumba..yani uteuliwe ndio ukasimamie shirika ambalo sio fully government owned, we una akili kweli
Na huyu cs mbona anatoa order kwani yeye nani 🤣🤣🤣🤣🤣 au muokota makopoKuteuliwa ndio kusimamia, we kweli pumba..yani uteuliwe ndio ukasimamie shirika ambalo sio fully government owned, we una akili kweli
Airport bila abiria ni hekalu tu! Passengers zero #ripMagu😁😁Abeid Karume International Airport Terminal 3 Zanzibar. Bado Msalato International Airport tumalize hii ligi ya viwanja vya ndege.
View attachment 1751865
View attachment 1751866
View attachment 1751867
View attachment 1751868
View attachment 1751869
View attachment 1751870
View attachment 1751871
I wonder what happened to the profits they used to talk about, tukiambia watuwekee finacials za ATCLBado hatujaunganisha pesa za walipa kodi zilizotunika kinyume na katiba kukomboa hayo mapipa..
Yani rougly mumepoteza more than a bilion dollar na bado mnasema mnawekeza tu[emoji23][emoji23].
Tony254 naona tune imebadilika huku, jamaa kuanzia shirika lianzishwe miongo mitatu minne iliyopita bado halijui faida ni nn[emoji2960][emoji2960]
SuperBRT, Ultra modern, first in East Africa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna neno umesahau “ Super “
Kwa hiyo 2B loss haiwekani kuzuiwa kabisa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ebu tengua kauli yako mzee zanzibar inapokea abiria wengi sana na ni yatatu afrika masharik na kati kwa abiria, usifananishe iyo na hekalu lenu la mombasa na kisumu ukoAirport bila abiria ni hekalu tu! Passengers zero #ripMagu😁😁