Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Msukuma hana sababu ya kujiweka chini kwasababu ya kuwa "LY", akili na uwezo wa kuzaliwa anao, madarasa ni vitendea kazi tuu.kitu nilichonotice biteko ni waziri sahihi wa madini.. yeye sio msomi sana ila ana uzoefu na uchimbaji wa madini.. anatokea geita.. sidhan kama angekuwepo wazir (Dr. au Prof). ambae sio mwenzeji wahio mikoa angefanikiwa kama biteko
msukuma anaongeaga points sana japo eti LY![]()
Mtu kama Michael Faraday aliishia darasa la nne tuu lakini aliweza kugundua kuwa waya ukipita kwenye sumaku unatengeneza (induces) umeme. Ilichukua miaka 100 baada ya Faraday kufa ndipo Maxwell alipokuja kuelezea kihisabati kile alichokifanya Faraday.
Last Year (mwaka wa mwisho wa kumaliza shule ya msingi).LY ndo nn?




