Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lini hyo budget ya KQ iliongelewa bungeni[emoji23][emoji23]
We kweli panya buku, we unajua kitu kinaitwa partneship kweli au ni ugumu wa kuelewa tu ndio manake unapayuka
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇 ukiwa na maana serekali haina miliki kenya airways ama ?? Na kama inayo miliki lazima iwe chini ya wizara na mwenye wizara hio aliepewa dhamana ni macharia mzee baba 👇👇👇👇 piga ufe ugaregare mwenye wizara aliepewa dhaman ni macharia 😅😅😅😅
97B328CE-D46D-4282-BA51-E66D571922D5.jpeg
 
Bado haitabadilisha km KQ imeingiza faida mara kadhaa zaidi ya hyo hasara
Kq inaendesha hasara leo ni miaka 10 mfululizo na hasara ilioko kq kila siku afadhali ya jana 🤣🤣🤣 na mbaya zaidi shirika lina miliki ndege tatu chakavu fully paid huku ikizidi kutumuia pesa za taxpayers kulipa wenye ndege zao wakila bata ulaya huko alaf nyie kaeni mutafute mchawi aliewaroga 😝
 
Miaka 40 wameweza kununua ndege tatu chakavu b737 🤣🤣🤣🤣 alaf leo wanatafuta mchawi loss ya 333m usd per year inatoka wapi 😃😃 wakat hio pesa wanayopata loss inaweza nunua dreamliner mpya pamoja na cessna caravan 10 na change ikabaki
 
Mm nakupa official source from the boss of that wizara ambayo kq iko chini ya hio wizara [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Maoni yako mazuri, km umefikia level hii ya kumuita macharia boss wa KQ..asante sana kilaza
 
Kq inaendesha hasara leo ni miaka 10 mfululizo na hasara ilioko kq kila siku afadhali ya jana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na mbaya zaidi shirika lina miliki ndege tatu chakavu fully paid huku ikizidi kutumuia pesa za taxpayers kulipa wenye ndege zao wakila bata ulaya huko alaf nyie kaeni mutafute mchawi aliewaroga [emoji13]
Soma kwanza nilichokiandika na uache kujirudia rudia km mtoto wa chekechea..

Narudia tena, faida ya takribani miongo miwili ni nyingi kuliko hasara ya miaka kumi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] ukiwa na maana serekali haina miliki kenya airways ama ?? Na kama inayo miliki lazima iwe chini ya wizara na mwenye wizara hio aliepewa dhamana ni macharia mzee baba [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] piga ufe ugaregare mwenye wizara aliepewa dhaman ni macharia [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 1752209
Serekali haimiliki KQ km unapinga lete data hapa, alafu uache kujirudia rudia utachokwa
 
The star ni media kutoka kenya imesajiliwa na serekali ya kenya na ni official media from kenya [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] tatizo lako hupendi ukweli mzee

Tulia urambe dawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti namjua head of cabinet na kazi ya cs ni nini kwenye wizara au hujui hio ni system mume copy kutoka england [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Kama ilitoka order from above na huyu ndio kawasilisha sasa kwann ukatae [emoji116][emoji116][emoji16][emoji16]

Umeona sehemu akimtaja raisi, kapuuzwa kijana wako
 
So kesi ya kq hua inapelekwa bungeni kufanya nn ?? Na kwann kq iko ndani ya budget ya wizara ya transport na kwann hua nijadiliwa bungeni ???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nolete hyo bajeti
 
Kama kapewa report akaseme na huyu katoa report awasilishe na kawatag kq pamoja na transport ke[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Niletee sehemu matiangi kamtag rais au IG katika zile ripoti zake
 
Tunazungumzia mkuu wa wizara husika alieachiwa wizara kuiongoza kq iko chini ya wizara ya transport na wizara hio inaongozwa na macharia ndio boss wa wizara aliopewa kenge wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umekasirika, boss kutoka wapi[emoji23][emoji23]
Chattle au
 
Leo noo na wewe mzee wa pumba, lazima nikulete hata mara moja kw mwezi ndio akili zikukae sawa ichoboy01

Twende kilaza, nasubiria link ya hyo ripoti ya macharia
 
Leo nko na wewe kilaza, wasemaje hata km ni nmpaka asubuhi..ee ukitaka jitikie utahira kabisa lkn mi bado sitosita kwenda nawe sambamba ichoboy01 njoo hku bana mnenguaji ingawaje jiwe akili zake keshatangulia nazo
 
Back
Top Bottom