Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona mama Samia kavaa mask katika hafla inayofanyika Uganda. Hio ni ishara nzuri kwamba Mhe Samia anaheshimu sayansi na hafuati ramli zinazopigwa na waganga vijijini. Corona haina tiba na haitibiwi kwa uganga wala uchawi, fuateni sayansi muwache mambo ya kupiga nyungu.
Nikuulize swali, hizo sayansi mnazopigia upatu mbona hazija tokomeza kirusi hadi sasa hivi?

 
You guys thrive in lies and deciet. Whasup . What is the problem, saying the truth, no one will beat you. C'mon good neighbours. We don't care.

Embress the truth whether good or bad, the world can smell your shit. Anyway.
You care so much that's why you insinuating non of your business on other people's stuff, hivi if you mingle your own portion, what gonna be wrong? Kenya goes through very trying time for 3 years now single handedly in a row and no Tanzanian gives a shit, hamjifunzi?
 
Lapsset
Expressway
Western bypass
Mombasa-mariakani highway
Brt nairobi
Konza technopolis

Na kadhalika.
Total value of money released/available for all these shadow projects don't exceed $1B.

By the way, what do you mean by Lapset?, this is a Ghost project, apart from Lamu port which available money released by GoK is less than $300M and few roads, nothing is there to show.
 
Back
Top Bottom