Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

How will the passengers board the buses, watakuwa wanasimamia barabarani? Do these people have brains?
You are the one doesn't have brains,, look at this render ili uelewe
photo_2020-09-18_21-08-22.jpg
Screenshot_20210411-154551~2.png
photo_2020-09-18_21-08-09.jpg
 
Lapsset
Expressway
Western bypass
Mombasa-mariakani highway
Brt nairobi
Konza technopolis

Na kadhalika.
Express way ya mchina au unazungumzia ipi ww unazungumzia kitu ambacho ni miliko ya mchina kwa 30 yrs na pain mutaikuta kaenye toll 🤣🤣🤣🤣🤣, where is lappset over 6 yrs now and lamu is over 10 yrs ziko wapi??
Uhehehhehehhe eti BRT nairobi 😂😂😂 we huoni hata wenzako hawashuguliki kutaja BRT, konza 😅😅😅 over 10 yrs now ni nini mumejenga konza ambayo ina atleast 5% of the render ???
 
You are the one doesn't have brains,, look at this render

Hii ndio BRT 😁😁😁😁 mbona wenzako wako kimya kuna nn au kuna jambo mushaliona haliendani na hadhi yenu
wacha wivu wacha wamalize ujione..by the way unajua expressway litakua na BRT?..Tushawajua nyinyi..waga muko wanafiki sana..si ni juzi mlikua mnacheka wakenya pamoja na ndege zao venye zinafanya hasara..juzi ripoti ya CAG..imetolewa..tumejuwa venye nchi lenu limeoza.serikali lenu linawabeba kama maembe na bado muko na roho ya kucheka...SMH..
 
😀😀😀😀 wivu kwenye huo ushuzi hvi wewe unafkiri BRT ni kama kula githeri, expreway ya mchina ambayo pain mutaikuta kwenye toll 30yrs
CAG...rudi ukasome CAG....bado nitakukumbusha hadi uerevuke...
 
Express way ya mchina au unazungumzia ipi ww unazungumzia kitu ambacho ni miliko ya mchina kwa 30 yrs na pain mutaikuta kaenye toll 🤣🤣🤣🤣🤣, where is lappset over 6 yrs now and lamu is over 10 yrs ziko wapi??
Uhehehhehehhe eti BRT nairobi 😂😂😂 we huoni hata wenzako hawashuguliki kutaja BRT, konza 😅😅😅 over 10 yrs now ni nini mumejenga konza ambayo ina atleast 5% of the render ???
Expressway 😜
20210405_133143.jpg
20210331_152859.jpg
EyH9S8VXAAEovNH.jpeg
 
Total value of money released/available for all these shadow projects don't exceed $1B.

By the way, what do you mean by Lapset?, this is a Ghost project, apart from Lamu port which available money released by GoK is less than $300M and few roads, nothing is there to show.

Uliskia wapi kwamba umuhimu wa mradi unatokana na bei yake, hio miradi nilioandika yana impact KUBWA sana kwenye Africa nzima.
 
wacha wivu wacha wamalize ujione..by the way unajua expressway litakua na BRT?..Tushawajua nyinyi..waga muko wanafiki sana..si ni juzi mlikua mnacheka wakenya pamoja na ndege zao venye zinafanya hasara..juzi ripoti ya CAG..imetolewa..tumejuwa venye nchi lenu limeoza.serikali lenu linawabeba kama maembe na bado muko na roho ya kucheka...SMH..
Wamevuliwa chupi na CAG😂😂waone Sasa venye uchi wao ni shapeless,,TZ ni corrupt every sector,,Magu alificha haya yote na ku brainwash wapoko,,Sasa watalilia choo😂😂😂😂
 
Wamevuliwa chupi na CAG😂😂waone Sasa venye uchi wao ni shapeless,,TZ ni corrupt every sector,,Magu alificha haya yote na ku brainwash wapoko,,Sasa watalilia choo😂😂😂😂
Wamevuliwa chupi na CAG😂😂waone Sasa venye uchi wao ni shapeless,,TZ ni corrupt every sector,,Magu alificha haya yote na ku brainwash wapoko,,Sasa watalilia choo😂😂😂😂
Naskia walinunua ndege cash na ni zaidi ya miaka tano bila kupata profit ata ya kununua kitunguu ama tomato..hio biashara waifunge tu..waendeleze SGR yao..
 
Uliskia wapi kwamba umuhimu wa mradi unatokana na bei yake, hio miradi nilioandika yana impact KUBWA sana kwenye Africa nzima.
Tunazungumzia miradi mingi na yenye thamani kubwa hapa EA, Tanzania tunaongoza tena kwa mbali sana.

By the way, hakuna hata mradi mmoja wenye impact kubwa kwa Kenya, yote hii ni miradi itakayoumiza wananchi wa Kenya, hiyo Express highway ni mradi wa kuwalipisha pesa wakenya, what is the impact of your fake BRT for Afrika, or Mombasa Mariakani high way for Afrika, even for Kisumu citizens?
 
Express way ya mchina au unazungumzia ipi ww unazungumzia kitu ambacho ni miliko ya mchina kwa 30 yrs na pain mutaikuta kaenye toll 🤣🤣🤣🤣🤣, where is lappset over 6 yrs now and lamu is over 10 yrs ziko wapi??
Uhehehhehehhe eti BRT nairobi 😂😂😂 we huoni hata wenzako hawashuguliki kutaja BRT, konza 😅😅😅 over 10 yrs now ni nini mumejenga konza ambayo ina atleast 5% of the render ???

wivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, kabishane na magufuli 👉👉👉🚮🚮🚮
 
Tunazungumzia miradi mingi na yenye thamani kubwa hapa EA, Tanzania tunaongoza tena kwa mbali sana.

By the way, hakuna hata mradi mmoja wenye impact kubwa kwa Kenya, yote hii ni miradi itakayoumiza wananchi wa Kenya, hiyo Express highway ni mradi wa kuwalipisha pesa wakenya, what is the impact of your fake BRT for Afrika, or Mombasa Mariakani high way for Afrika, even for Kisumu citizens?

Hivi majuzi AU waliupokea mradi wa Lapsset kama mradi muhimu bara nzima- tunaongelea lamu port, resort cities, airports, railway lines, pipeline etc. Nipe mradi wenu mmoja wenye nusu ya hadhi ya lapsset????
 
Back
Top Bottom