Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jeshi la Uganda wanafanana kila kitu na JWTZ hata hii midundo ya wanazo piga...ushahidi mwingine kuwa Tanzania ndio imewatengenezea jeshi na imewafundisha
Naomba utambue kua Uganda ni TZ II, Kuanzia Rais M7 alishakiri hilo kua yeye ni MTZ pia ni Mganda hapo ndo utajua, Tanzania ni nani ukanda huu.
 
Jeshi la Uganda wanafanana kila kitu na JWTZ hata hii midundo ya wanazo piga...ushahidi mwingine kuwa Tanzania ndio imewatengenezea jeshi na imewafundisha
Naomba utambue kua Uganda ni TZ II, Kuanzia Rais M7 alishakiri hilo kua yeye ni MTZ pia ni Mganda hapo ndo utajua, Tanzania ni nani ukanda huu.
 
Jeshi la Uganda wanafanana kila kitu na JWTZ hata hii midundo ya wanazo piga...ushahidi mwingine kuwa Tanzania ndio imewatengenezea jeshi na imewafundisha
Naomba utambue kua Uganda ni TZ II, Kuanzia Rais M7 alishakiri hilo kua yeye ni MTZ pia ni Mganda hapo ndo utajua, Tanzania ni nani ukanda huu.
 
Jeshi la Uganda wanafanana kila kitu na JWTZ hata hii midundo ya wanazo piga...ushahidi mwingine kuwa Tanzania ndio imewatengenezea jeshi na imewafundisha
Naomba utambue kua Uganda ni TZ II, Kuanzia Rais M7 alishakiri hilo kua yeye ni MTZ pia ni Mganda hapo ndo utajua, Tanzania ni nani ukanda huu.
 
Jeshi la Uganda wanafanana kila kitu na JWTZ hata hii midundo ya wanazo piga...ushahidi mwingine kuwa Tanzania ndio imewatengenezea jeshi na imewafundisha
Naomba utambue kua Uganda ni TZ II, Kuanzia Rais M7 alishakiri hilo kua yeye ni MTZ pia ni Mganda hapo ndo utajua, Tanzania ni nani ukanda huu.
 
Naona mama Samia kavaa mask katika hafla inayofanyika Uganda. Hio ni ishara nzuri kwamba Mhe Samia anaheshimu sayansi na hafuati ramli zinazopigwa na waganga vijijini. Corona haina tiba na haitibiwi kwa uganga wala uchawi, fuateni sayansi muwache mambo ya kupiga nyungu.
 
Naona mama Samia kavaa mask katika hafla inayofanyika Uganda. Hio ni ishara nzuri kwamba Mhe Samia anaheshimu sayansi na hafuati ramli zinazopigwa na waganga vijijini.
Hata mwaka jana alipo enda kumwakilisha JPM kwenye mkutano wa SADC kule Gaborone Botswana alivaa mask.

Nikuulize swali, hizo sayansi mnazopigia upatu mbona hazija tokomeza kirusi hadi sasa hivi?
 
Naona mama Samia kavaa mask katika hafla inayofanyika Uganda. Hio ni ishara nzuri kwamba Mhe Samia anaheshimu sayansi na hafuati ramli zinazopigwa na waganga vijijini. Corona haina tiba na haitibiwi kwa uganga wala uchawi, fuateni sayansi muwache mambo ya kupiga nyungu.
Kama n science basi imefeli miserably kwenye suala ya kuidhibiti Corona, ila kama ni kwa lengo la kuifanya dunia ijiingize katika season nyingine ya Great Economic Depression ambapo AFRICA ndo ataathirika zaid, basi tuendelee kufuata drama zao.

Kama Corona kwel ni threat kwa Binadamu, mpaka sasa Tanzania ingeongoza kwa kuokota mizoga maana sio kwa msongamano huu hapa Kariakoo. Watu wapo busy na shughuli zao hawana hofu na hawaumwi chochote labda woooote ni wagonjwa MAYBE
 
Back
Top Bottom