Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nmeu
Nmeuliza swali simple tuu abiria wa kwenye madaladala watakua wanashushiwa wapi na je watu watakua wanavukaje kuenda upande wa pili? Kwa sababu so far vituo hamna na footbridge ni moja tuu mbezi mwisho
Kwenye freeway (expressway) waenda kwa miguu na wapanda baisikeli huwa hawakatizi, wanatumia kidaraja cha kuvukia. Hata magari huwa hayakatizi, kama dereva anataka kutoka kwenye barabara kuu, ana exit kwanza na wale wanaoingia hutumia sehemu maalumu za kuingilia.
 
I think in total like 16
Screenshot_20210402_203717_com.twitter.android.lite.jpg
AtPs4E5CIAAFRMd.jpg

Unaweza kutuwekea picha to support ur claim.
EpImgx8UUAEw-w_.jpg
DY9mK2bX0AIATfD.jpg
EhDL1LFWkAIN3tO.jpg
EsCV4w-XMAIC0Zb.png

I will try get more. They are very well distributed. But 12 more were an after thought after construction of the highway most of them weren't there

DY9mK2bX0AIATfD.jpg


EhDL1LFWkAIN3tO.jpg


EsCV4w-XMAIC0Zb.png


EpImgx8UUAEw-w_.jpg
 
Kwenye freeway (expressway) waenda kwa miguu na wapanda baisikeli huwa hawakatizi, wanatumia kidaraja cha kuvukia. Hata magari huwa hayakatizi, kama dereva anataka kutoka kwenye barabara kuu, ana exit kwanza na wale wanaoingia hutumia sehemu maalumu za kuingilia.
Ahsante, ndio nilichokuwa namuelewesha, kwa sababu ndio barabara ya kwanza nchini nafikiri huko mbeleni tutaelewana, kwa sasa ngoja nikae kimya
 
Kwenye freeway (expressway) waenda kwa miguu na wapanda baisikeli huwa hawakatizi, wanatumia kidaraja cha kuvukia. Hata magari huwa hayakatizi, kama dereva anataka kutoka kwenye barabara kuu, ana exit kwanza na wale wanaoingia hutumia sehemu maalumu za kuingilia.
Let me ask, Dar has an expressway?Nairobi doesn't have until the new Nairobi expressway is complete
 
Samia mbona asizuie bidhaa za Kenya kuingia Tanzania?
Hapana bhana 😂😂 Hii ni vita tu ya kibiashara na tukisema tuje na sera ya (protectionism police) itatuathiri sisi sana pamoja na wao pia,ukizingatia sisi tunategemea soko kwao pia . Mchongo ni kwamba sisi tuzalishe bidhaa bora na za bei nafuu kwa wingi, basi tutakua tumewashinda kwa mbali sana, Mana tutapata soko la ndani na pia tutaweza kuteka soko lao, kumbuka (France vs Britain) sugar competition, tukipata humo hawa hawatuwezi kabisa
 
Kwe
Kwenye hii highway tumepigwa kuna vitu muhimu havijakaa sawa ila ni kwasababu mkandarasi anajifunzaa , footbridge ni lazima naona haikuwa Kwenye plan ya mkandarasi sijui ila mradi badoo hujakamilika
Wee jamaa unakua kama mtu mlafi anaelalamika chakula hakitoshi kikiwa jikoni ilhali mpishi ndie anaeijua sufuria. Subiri barabara iishe, na isitoshe kuna overpass ambazo pia watembea kwa miguu watazitumia na zingine hazijaanza kutengenezwa. Kingine siku hizi footbridge wanapewaga dili wanajeshi na kama itakua hivyo itabidi wasubiri green light.
Kama alivyokuambia The best 007 , siamini kama wewe unaweza kuliona kosa n then tanroads na wadau wote wawe hawakuliona hilo kwenye design na mpaka sasa
 
Hapana bhana 😂😂 Hii ni vita tu ya kibiashara na tukisema tuje na sera ya (protectionism police) itatuathiri sisi sana pamoja na wao pia,ukizingatia sisi tunategemea soko kwao pia . Mchongo ni kwamba sisi tuzalishe bidhaa bora na za bei nafuu kwa wingi, basi tutakua tumewashinda kwa mbali sana, Mana tutapata soko la ndani na pia tutaweza kuteka soko lao, kumbuka (France vs Britain) sugar competition, tukipata humo hawa hawatuwezi kabisa
There is something you are missing.First of I agree with you that busuiness in any capitalism should be Laizzes faire. Secondly understand Kenya economy from a broad perspective, it has never been in competition with any country as long as its status quo is maintained
 
There is something you are missing.First of I agree with you that busuiness in any capitalism should be Laizzes faire. Secondly understand Kenya economy from a broad perspective, it has never been in competition with any country as long as its status quo is maintained
Kwasasa mpo kwenye competition kubwa sana na bongo na mkishangaa kidogo tu mtaanza ku import karibu kila kitu kutoka tz, nikukumbushe kidogo, miaka mitano nyuma tu, bidhaa zenu zilikua zimetawala tz but nowadays karibu bidhaa zote tunazotumia ni za bongo na ninyi pia ndio hizo mnazotumia,zinakuja kwenu kwa fujo
 
Kwenye freeway (expressway) waenda kwa miguu na wapanda baisikeli huwa hawakatizi, wanatumia kidaraja cha kuvukia. Hata magari huwa hayakatizi, kama dereva anataka kutoka kwenye barabara kuu, ana exit kwanza na wale wanaoingia hutumia sehemu maalumu za kuingilia.
Iyo sio expressway mzee na footbridges ni lazima Iyo njia kuna wakazi wengi sana
 
Dar haina expressway. Na hawana mpango wa kujenga expressway.
Let me ask, Dar has an expressway?Nairobi doesn't have until the new Nairobi expressway is complete
Hiyo ya Dar - Chalinze ilikuwa imepangwa kuwa expressway ila kuna mabadiliko yalifanyika ikiwa ni pamoja na kuiongezea lanes sasa sijui kama bado itakuwa expressway.
Arusha declaration huwa ni nini? Nini ilikuwa declared huko?
Ni azimio lililohusisha mambo makuu mawili;
1. Miiko ya uongozi (kutokutoa wala kupokea rushwa, uadilifu, kuwatumikia wananchi n.k)
2. Njia zote za kiuchumi kumilikiwa na umma.

Kiufupi Magu alilirudisha Azimio la Arusha kimatendo (kama vile lilivyondolewa kimatendo na mzee Ruksa) bila ya kulitaja taja hadharani kwasababu neno hili huwa lina stigma fulani Tanzania.
 
Wee jamaa unakua kama mtu mlafi anaelalamika chakula hakitoshi kikiwa jikoni ilhali mpishi ndie anaeijua sufuria. Subiri barabara iishe, na isitoshe kuna overpass ambazo pia watembea kwa miguu watazitumia na zingine hazijaanza kutengenezwa. Kingine siku hizi footbridge wanapewaga dili wanajeshi na kama itakua hivyo itabidi wasubiri green light.
Kama alivyokuambia The best 007 , siamini kama wewe unaweza kuliona kosa n then tanroads na wadau wote wawe hawakuliona hilo kwenye design na mpaka sasa
OK sawa vipi kuhusu vituo vya daladala
 
Ingia mtandaoni jiridhishishe (kuona ni kuamini) achana na data za Google. Kwa ground uko US hakuna kitu baba, mtu kuitwa tajiri ni matokeo ya anachokifanya na sio maneno, Mimi nasema. China ni world super power currently kwasababu ya matokeo ya wanavyovifanya
Nilivyoona habari eti sudani imelipa mabilioni ya shilingi kwenda marekani kufuatia ushiriki wa ugaidi nilishangaa kweli.halafu uingereza nayo misaada ya ahadi huko syria mpaka leo haijakamilika navwanasingizia covid -19 kikwazo.
Ndio maana hawakumpenda JPM kwa vile anajua kuwa wanatuibia na umaskini wao huko USA na ulaya.
 
Back
Top Bottom