Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

pia naanza kuamini katibu mkuu kiongozi lazima awe na chemistry flan hiv na Rais aliepo madarakani

kikwete na balozi seif
magufuli na balozi kijazi then baadae bashiru(kuziba pengo)
samia na huyu mpya (nadhan atakuwa ana uelewa nae vizur)

Hivi katika nafasi hii lazima uwe balozi??
 
Hamna vituo vya daladala mzee nmepita jana watu wanashushiwa ndani ya barbara na kingine izo lane za katkat za mwwndokaz zitakua za kuchora kama za kenya yani kwenye huu mradi aisee tumebugii of course mradi hujaisha labda kuwe na marekebisho
Kwahiyo mwendokasi inaenda wapi.
 
Hamna vituo vya daladala mzee nmepita jana watu wanashushiwa ndani ya barbara na kingine izo lane za katkat za mwwndokaz zitakua za kuchora kama za kenya yani kwenye huu mradi aisee tumebugii of course mradi hujaisha labda kuwe na marekebisho
Hii barabara ni express, sidhani kama ni wazo zuri kuweka vituo vya daladala kwenye barabara kubwa hivi, kinachotakiwa ziwepo interchange kama 2 au 3 zinatosha, hata footbridge hazihitajiki unless ingekuwa katikati ya mji.
Bus lane ni kwa mabasi yanayokwenda na kutoka mikoani na si kwa ajili ya mwendokasi.

Kwahiyo mwendokasi inaenda wapi.
 
Hii barabara ni express, sidhani kama ni wazo zuri kuweka vituo vya daladala kwenye barabara kubwa hivi, kinachotakiwa ziwepo interchange kama 2 au 3 zinatosha, hata footbridge hazihitajiki unless ingekuwa katikati ya mji.
Bus lane ni kwa mabasi yanayokwenda na kutoka mikoani na si kwa ajili ya mwendokasi.
OK sio lazima kuweka vituo Sasa unataka abiria washukie wapi au wavukaje barabara pana kama ile ebu tumia logic kidogo ,barabara ile ni pana sana
 
Hii barabara ni express, sidhani kama ni wazo zuri kuweka vituo vya daladala kwenye barabara kubwa hivi, kinachotakiwa ziwepo interchange kama 2 au 3 zinatosha, hata footbridge hazihitajiki unless ingekuwa katikati ya mji.
Bus lane ni kwa mabasi yanayokwenda na kutoka mikoani na si kwa ajili ya mwendokasi.
Eti footbridge haihitajiki kwenye hii highway? Kwani hakuna watu wanaoishi kando kando mwa barabara hii pana? Halafu barabara hii pana bila footbridge watu wengi watagongwa na gari. Footbridge ni lazima iwe. Hii sio barabara kadogo ka mtaani, hili ni jitu la barabara hata huwezi kuvuka bila footbridge. Unajua nyinyi hamjawahi kuwa na barabara pana kama hii ndio maana unaona kama footbridge sio lazima.
 
OK sio lazima kuweka vituo Sasa unataka abiria washukie wapi au wavukaje barabara pana kama ile ebu tumia logic kidogo ,barabara ile ni pana sana
Huyo jamaa anafikiri watu watavukaje barabara ya 8 lanes bila footbridge? Kwani mnataka kuuwa watu?
 
Nmeu
Ndio maana nimeongelea exit, ni kama bomba la maji kubwa hata kama limepita nyumbani kwako huwezi ungiwa maji.
Tembea uone.
Nmeuliza swali simple tuu abiria wa kwenye madaladala watakua wanashushiwa wapi na je watu watakua wanavukaje kuenda upande wa pili? Kwa sababu so far vituo hamna na footbridge ni moja tuu mbezi mwisho
 
Huyo jamaa anafikiri watu watavukaje barabara ya 8 lanes bila footbridge? Kwani mnataka kuuwa watu?
Kwe
Huyo jamaa anafikiri watu watavukaje barabara ya 8 lanes bila footbridge? Kwani mnataka kuuwa watu?
Kwenye hii highway tumepigwa kuna vitu muhimu havijakaa sawa ila ni kwasababu mkandarasi anajifunzaa , footbridge ni lazima naona haikuwa Kwenye plan ya mkandarasi sijui ila mradi badoo hujakamilika
 
Back
Top Bottom