Kwakweli mzee asingeweza kutoboa, aliwaudhi wakubwa wa dunia hii, lkn amekufa akiwa shujaa na mengi yataibuka na wale wapiga kelele za Lissu Lissu ningependa wasome hapa waone Lissu ni nani na anaitakia nn nchi hii.
Wakenya naomba msome hii article zen mjue covid-19 maana yake ni nini na kwa nini mzee wetu alikuwa anapambana kutuelimisha kuhusu huu ugonjwa wa wazungu.
Tony254 na Wakenya wote someni hii article zen muweke comment yenu. Roho imeniuma sana, kumbe ndiyo maana mzee alikuwa anasisitiza kwamba ame sacrifice maisha yake kwa ajili yetu daahhh so sad.