Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Serikali yao inaambia Gazeti heading watakayochapisha maana hakuna jinsi gazeti nne zitachapisha heading sawa. Serikali ya kidikteta hii kwenye upande wa uanahabari.
Wakenya wengi Huwa niwapuuzi sana sijui kwann
Yaani mnaamini Nyie mpo Vizuri kumbe hovyo kabisa
Yaani wamenukuu Alicho kisema Eti kwakuwa Magazeti manne Yameandika basi Serikali yakidikteta
Hivi Kwanini mnataka ujinga wa Vyombo vyenu uwe wawote!!
 
Wakenya wengi Huwa niwapuuzi sana sijui kwann
Yaani mnaamini Nyie mpo Vizuri kumbe hovyo kabisa
Yaani wamenukuu Alicho kisema Eti kwakuwa Magazeti manne Yameandika basi Serikali yakidikteta
Hivi Kwanini mnataka ujinga wa Vyombo vyenu uwe wawote!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanatushobokea hadi kero yani
 
Takwimu za mambo ya habari Tanzania
Screenshot_20210402-105201.png
 
nafkiri hilo halikuhusu!!
usisahau mabwana zenu walikataa kufinance njia4 na sie tunawapigia 8
Sisi ndio nchi ya kwanza na nchi pekee Africa mashariki na kati kuwa na barabara ya 8 lanes. Barabara yenyewe inaitwa Thika road na ilikamilika mwaka wa 2010. Kuna sehemu za Thika road ambazo zina leni kumi. So uwe na heshima unapozungumza na nchi ambayo imewatangulia kwenye mambo haya.
 
Kwaiyo kama ni highway ndio watu wasivuke barabara bila footbridge ni utopolo tuu
Ni kweli ulivyosema kwamba footbridge inahitajika sana hususan kwenye highway maana kwenye highway magari huwa yanakwenda kwa maximum speed.
 
Tofauti ya pesa ya Tanzania na Kenya ni 1Ksh =
Tsh 20 tu. Sijui wakenya huwa mnabweka bweka kitu gani.
Huo ni ushamba unakusumbua.
Thamani ya pesa inabakia kuwa sawa ila bunda linapunguka ukibadilisha from Tsh to Ksh. Hamna mambo ya kubebana na mabunda huku. Na ukiona mtu amebebana na mabunda ya noti huku ujue huyo amebeba pesa ya thamani kubwa.
 
Sisi ndio nchi ya kwanza na nchi pekee Africa mashariki na kati kuwa na barabara ya 8 lanes. Barabara yenyewe inaitwa Thika road na ilikamilika mwaka wa 2010. Kuna sehemu za Thika road ambazo zina leni kumi. So uwe na heshima unapozungumza na nchi ambayo imewatangulia kwenye mambo haya.
nkupe heshma kwa kitu ambacho hakinihusu? Kwan lazima nkuheshimu? huo ni unyan'gau budaa!!
ila ahsante kwa taarifa.
 
nkupe heshma kwa kitu ambacho hakinihusu? Kwan lazima nkuheshimu? huo ni unyan'gau budaa!!
ila ahsante kwa taarifa.
Sio mimi nasema uipe nchi ya Kenya heshima kwa kuwatangulia kwenye mradi huu. Jifunze kusoma vizuri.
 
Back
Top Bottom