xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,301
- 5,379
izo ni tabia za kikenya typically [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio mimi nasema uipe nchi ya Kenya heshima kwa kuwatangulia kwenye mradi huu. Jifunze kusoma vizuri.
haya sie hatukukopi kwenu wala hatukua na taarifa hata!
"hatutaki kuwapa heshima sababu sisi tuliwaiga Germany.
naona umepanic [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya enjoy na picha ya huyu mkuu wa wilaya then kunywamaji 'utazoea tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]