Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

100% na ndiyo sababu kuu ya zile figisu za Trump, speed ya hawa jamaa inatisha na haijawahi kutokea kwenye historia ya dunia.
Mimi hio mambo niliyoona kwenye hio video kwamba mwaka wa 2008 walikuwa na 117 km of high speed rail halafu saa hii wana 36,000 km of high speed rail ndio imenifanya nifunge mdomo. Na wala hutaona nikisifia Marekani tena maana ni kweli Marekani wako mbele ila sio kwa muda mrefu. Wakati wa China umefika. Hio speed ya kujenga reli haijawahi kutokea tena katika historia ya ulimwengu. Na sio reli hizi za SGR za kawaida ambazo sisi Waafrika huwa tunajipiga
kifua nazo. Hii ni high speed ambayo ni more expensive kujenga kushinda hizi zetu za kawaida. Kweli kuangalia tu data na statistics kwenye vitabu bila kuangalia mambo kwenye ground sio nzuri. Tunastahili kuangalia pia kwa ground kunaendelea nini.
Sama boy 255
 
Mimi hio mambo niliyoona kwenye hio video kwamba mwaka wa 2008 walikuwa na 117 km of high speed rail halafu saa hii wana 36,000 km of high speed rail ndio imenifanya nifunge mdomo. Na wala hutaona nikisifia Marekani tena maana ni kweli Marekani wako mbele ila sio kwa muda mrefu. Wakati wa China umefika. Hio speed ya kujenga reli haijawahi kutokea tena katika historia ya ulimwengu. Na sio reli hizi za SGR za kawaida ambazo sisi Waafrika huwa tunajipiga
kifua nazo. Hii ni high speed ambayo ni more expensive kujenga kushinda hizi zetu za kawaida. Kweli kuangalia tu data na statistics kwenye vitabu bila kuangalia mambo kwenye ground sio nzuri. Tunastahili kuangalia pia kwa ground kunaendelea nini.
Sama boy 255
Umenena vyema bro
 
Pande za anga ukweli usemwe marekani ndio baba lao mzee baba, hapo umebugi kiasi..km ni sector reli sawa lkn anga marekani wako mbali sana..

Wamezifanya km "dala dala" kule kwao
Hapa wewe ndio umebugii mzee mchina pia anaingoza kwenye secta hii
 
Mzee umeambiwa leta facts zako tuzichuje unaleta opinions tena
Stupidity at its best! Someone’s posting videos about homelessness in California and poverty in USA as if China doesn’t have homeless people and poverty. To understand what you’re getting yourself into you better compare China and USA in terms of GDP per Capita. I am not “pro-USA”. As a matter of fact, I am trying to be as unbiased as possible. I am well aware that China is growing incredibly fast. And I acknowledge the positive sides of China too. I once said that China’s railway infrastructure is so much better than America’s. They have invested billions in railway construction and technology! I also said China has more skyscrapers because of their high population. I hate it when people tell lies on a popular thread like this one because we have millions of viewers. They will take away the lies thinking that the information is true. Think of me however you wish. Heck..you can hate me for all I care, but I won’t sit around and let your lies and propaganda spread like a wildfire!
let a
 
Umenena vyema bro

Tofauti ya China na marekani ni kuwa wamarekani wanamshiko kuzidi serkali
Na sera za marekani za capitalism zitawakosti miaka ya ijayo we fikiria jitu kama trump lilikua halilipi kodi na mabilionea wengine kibao, hela zao zote wanapeleka kutengeneza silaha tuu wanawasahau wannchi. Ndani ya kama miaka 15 ijayo marekani atakua anasoma number plate kwa mchina
 
UMBALI WA MIKOA YOTE KUTOKA DAR

1. DAR - ARUSHA 646 KM
2. DAR - KAHAMA 1012 KM
3. DAR - BABATI via moro 876 KM
4. DAR - BARIADI 1127 KM
5. DAR - BUKOBA via kahama 1433 KM
6. DAR - DODOMA 450 KM
7. DAR - GEITA 1226 KM
8. DAR - IRINGA 501 KM
9. DAR - KIBAHA 35 KM
10. DAR - KIGOMA via itigi 1258 KM
11. DAR - KIGOMA via kahama 1476 KM
12. DAR - LINDI 452 KM
13. DAR - MBEYA 822 KM
14. DAR - MOROGORO 194 KM
15. DAR - USANGI *575*KM
15. DAR - MOSHI 530 KM
16. DAR - MPANDA via itigi 1383 KM
17. DAR - MTWARA 556 KM
18. DAR - MUSOMA 1370 KM
19. DAR - MWANZA 1200 KM
20. DAR - NJOMBE 710 KM
21. DAR - SHINYANGA 989 KM
22. DAR - SINGINDA 725 KM
23. DAR - SONGEA via moro 949 KM
24. DAR - SONGEA via lindi 1054 KM
25. DAR - SUMBAWANGA 1166 KM
26. DAR - TABORA 829 KM
27. DAR - TANGA 350 KM
28. DAR - TUNDUMA 937 KM
29. ARUSHA - DODOMA via kondoa 425 KM
30. ARUSHA -KIGOMA *1054*KM
31. DAR - KIBITI 128 KM
32. ARUSHA - MWANZA 787 KM
32. MORO - TANGA 329 KM
33. NGARA - DAR via kahama 1310 KM
 
Tofauti ya China na marekani ni kuwa wamarekani wanamshiko kuzidi serkali
Na sera za marekani za capitalism zitawakosti miaka ya ijayo we fikiria jitu kama trump lilikua halilipi kodi na mabilionea wengine kibao, hela zao zote wanapeleka kutengeneza silaha tuu wanawasahau wannchi. Ndani ya kama miaka 15 ijayo marekani atakua anasoma number plate kwa mchina
Kisiasa wachina ni rahisi kufanya maamuzi ya maendeleo kwa haraka kwasababu wana chama kimoja. Marekani pesa iko tatizo siasa.

Miundombinu ya majimbo mengi yasiyo na fedha Marekani (barabara, madaraja n.k) imezeeka sana. Biden ameomba $2T ili afanye maboresho na ujenzi wa miundombinu mipya, lakini "Republicant(s)" wakiongozwa na McConnell wameanza kuleta kauzibe, yaani mambo muhimu ya kuchochea maendeleo wao wanaleta siasa. Sasa kwa hali hiyo unafikiri nchi itaweza vipi kufufua uchumi huu wa corona?
 
Back
Top Bottom