Marekani ndio anaongoza katika sector ya Anga kwa sababu yeye ndiye anayeunda ndege. Boeing ni Kampuni ya marekani na wanunuzi wengi wamekuwa ni wamarekani. China haina uwezo wa kuunda ndege ya abiria. China wanaweza tu kuunda ndege za kivita. Lakini commercial airliner bado Uchina wako nyuma ila wanajaribu kuunda ndege ya abiria inayoitwa Comac c919 ila bado inafanyiwa testing. Ila Wachina wakishaelewa kuunda ndege za abiria vizuri basi wataziunda nyingi kwa mpigo. Ila kampuni za kichina hazina ujuzi wa kuunda engine za ndege ya abiria.Hapa wewe ndio umebugii mzee mchina pia anaingoza kwenye secta hii
Na icho ndio sisi hatukitaki hapa bongo ndicho wapinzani wanakipagania ni uboya tuuKisiasa wachina ni rahisi kufanya maamuzi ya maendeleo kwa haraka kwasababu wana chama kimoja. Marekani pesa iko tatizo siasa.
Miundombinu ya majimbo mengi yasiyo na fedha Marekani (barabara, madaraja n.k) imezeeka sana. Biden ameomba $2T ili afanye maboresho na ujenzi wa miundombinu mipya, lakini "Republicant(s)" wakiongozwa na McConnell wameanza kuleta kauzibe, yaani mambo muhimu ya kuchochea maendeleo wao wanaleta siasa. Sasa kwa hali hiyo unafikiri nchi itaweza vipi kufufua uchumi huu wa corona?
Mkuu uko Bank hapo, alafu online banking hazifanyi kazi? 😂Huwa sipendi kuonyesha Vitu vyangu ila kwa kuwa mmetaka nawaonyesha, siku nyingine mkitaka niwaonyeshe hata ukucha wangu hamtakaa kupata kuuona
By BWANA MAPESA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
View attachment 1716409
View attachment 1716410
View attachment 1716411
Hongera ila tatizo ni kwamba hilo bunda ukiliconvert into Kenya shillings unabakia na pesa za kubebeka kwa mkono tu.Huwa sipendi kuonyesha Vitu vyangu ila kwa kuwa mmetaka nawaonyesha, siku nyingine mkitaka niwaonyeshe hata ukucha wangu hamtakaa kupata kuuona
By BWANA MAPESA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
View attachment 1716409
View attachment 1716410
View attachment 1716411
Mchina anapendelea kutumia reli sana, Mwamerika yeye ndege ni kama boda boda kule kwaoHapa wewe ndio umebugii mzee mchina pia anaingoza kwenye secta hii
Marekani ndio anaongoza katika sector ya Anga kwa sababu yeye ndiye anayeunda ndege. Boeing ni Kampuni ya marekani na wanunuzi wengi wamekuwa ni wamarekani. China haina uwezo wa kuunda ndege ya abiria. China wanaweza tu kuunda ndege za kivita. Lakini commercial airliner bado Uchina wako nyuma ila wanajaribu kuunda ndege ya abiria inayoitwa Comac c919 ila bado inafanyiwa testing. Ila Wachina wakishaelewa kuunda ndege za abiria vizuri basi wataziunda nyingi kwa mpigo. Ila kampuni za kichina hazina ujuzi wa kuunda engine za ndege ya abiria.
Kweli, laingia mfukoni lote ukiliconvert tu 😂Tatizo ni kwamba hilo bunda ukiliconvert into Kenya shillings unabakia na pesa za kubebeka kwa mkono tu.
Ni kweli. Soon Mchina anazindua hilo ndege. Akishapata uzoefu wa kulijenga ataanza kujenga ndege hizo kwa wingi kama vile alivyofanya kwenye train.Icho ndio kilichobakia tuu ata tesla mwenyewe anaanza kuhaha
mkandarasi mwenyewe anajifunzia kazi kazini ila mwaka huu inaisha iyo!!Hii project imechukua muda sana kuna kitu hakiko sawa kwenye financing!
😂 😂 😂 😂 Mi mwenyewe nilkula ban siku tatu, kisa... hata wacha nisiseme sababu ni kicheko, nisije nikachapwa tena mm jirani yenu 😂🏃🏾 🏃🏾 🏃🏾Nilipigwa ban kwa kusema Magufuli amekufa. Sasa amekufa na hatafufuka.
Tujifunze kufuata ukweli na tuache kutumia hisia katika maamuzi yetu ya kila siku. View attachment 1740063
Tanzania hakuna Uhuru wa wanahabari. Na nmedhibitisha hili na hizi ban za hapa jf. Only Kenyans are banned sababu wakenya ni wakweli.
Mm naona hao jamaa walikua wanawaza nn barabara haina vituo wala madaraja ya watembea kwa miguu imekaa hovyomkandarasi mwenyewe anajifunzia kazi kazini ila mwaka huu inaisha iyo!!
Hongera ila tatizo ni kwamba hilo bunda ukiliconvert into Kenya shillings unabakia na pesa za kubebeka kwa mkono tu.
Mkuu uko Bank hapo, alafu online banking hazifanyi kazi? [emoji23]
Ni swala la mda tuuu ata tii amriNi kweli. Soon Mchina anazindua hilo ndege. Akishapata uzoefu wa kulijenga ataanza kujenga ndege hizo kwa wingi kama vile alivyofanya kwenye train.
msishangae kule hadi magazeti wanaelezwa watakachochapisha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mi mwenyewe nilkula ban siku tatu, kisa... hata wacha nisiseme sababu ni kicheko, nisije nikachapwa tena mm jirani yenu [emoji23][emoji1493] [emoji1493] [emoji1493]
Hongera ila tatizo ni kwamba hilo bunda ukiliconvert into Kenya shillings unabakia na pesa za kubebeka kwa mkono tu.