Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeanza kuiogopa uchina. Hio video ya high speed rail imeniogopesha.
Huwa nafuatilia sana mambo haya ya majabali haya mawili.

Mwaka 2008 walikuwa na km chache sana za reli za kasi ila sasa wanazizidi nchi zote (Japan, Spain, S. Korea, Germany n.k) zilizokuwa zimebobea kwenye sekta hiyo, combined. China bado wako nyuma kwenye baadhi ya maeneo ila speed yao ya maendeleo ni kubwa mno haijapata kutokea. Kumbuka hawa jamaa, maendeleo yao hayajatokana na utumwa au ukoloni mambo leo, kiufupi wanatisha.

Sababu ya kuwa na hizo reli ndefu ni za kiusalama zaidi, sekta ya anga inamilikiwa na mataifa mengine na hivyo waliona ni bora kuondoa utegemezi mapema. Pili sehemu kubwa ya anga lao ni no flying zone hivyo ndege za abiria ni lazima zizunguke sana na hivyo kuongeza gharama.
 
Mwigulu hamzidi Mpango, alikua boss wake kwakua Mwigulu aliingilia kwenye Mlango wa siasa na kuwa Waziri. Ila kwa sasa, Mpango ndio Boss wake na kamzidi kwa kila kitu na hana budi kusikiliza maelekezo.
Uboss wa kisiasa ni timing tu mkuu,ndio maana uwa wanahamasishana huko siasani usimdharau wa chini yako
 
China wako juu sana aisee!!!
Tuje kwenye airlines (Hizi zina operate most ndani ya China)

AirlineFleets
Air China447
China Eastern Airlines579
China Southern Airlines622
Hainan Airlines221
Shanghai Airlines96
Shenzhen Airlines195
Sichuan Airlines168
XiamenAir169

Hebu tuweni wakweli katika hili. Kuna mtu anaweza kuweka Mashirika ya ndege ya Marekani na ndege zake!?
Hakuna nchi duniani yenye ndege nyingi kama Marekani, Delta pekee ni ya tatu duniani kwa kuwa na ndege nyingi. American airlines ndiyo inayoongoza kuwa na ndege nyingi dunianai.
 
Hakuna nchi duniani yenye ndege nyingi kama Marekani, Delta pekee ni ya tatu duniani kwa kuwa na ndege nyingi. American airlines ndiyo inayoongoza kuwa na ndege nyingi dunianai.
Ukweli ni kwamba USA iko juu sana kwa ss ila China inakuja kwa kasi ya 3×10⁸ m/s na haitochukua muda kabla ya China kuwa super power na hili mm na ww tutalishuhudia wala co wajukuu zetu, tuombe uzima tu.
 
Ukweli ni kwamba USA iko juu sana kwa ss ila China inakuja kwa kasi ya 3×10⁸ m/s na haitochukua muda kabla ya China kuwa super power na hili mm na ww tutalishuhudia wala co wajukuu zetu, tuombe uzima tu.
100% na ndiyo sababu kuu ya zile figisu za Trump, speed ya hawa jamaa inatisha na haijawahi kutokea kwenye historia ya dunia.
 
Achana na Wikipedia kaka.

Wikipedia karibia zote kuhusu Tanzania zinaeditiwa daily na Wakenya, ukisoma unaweza dhania Kenya ni bonge la nchi na Tanzania ni nchi ya crime kama Somalia.
Wikipedia pages also have citations you know? You can easily find reliable data/information from them. Kama hutaki wikipedia basi soma hii
 
Anaitwaje?
Huyu hapa mkuu,yaani huyu dada ananivutia kinoma kwa ma news anchors kike wa huko kwenu,sijui naeza mpataje?

FB_IMG_1617307870525.jpg
FB_IMG_1617307857190.jpg
FB_IMG_1617307857190.jpg
 
Stupidity at its best! Someone’s posting videos about homelessness in California and poverty in USA as if China doesn’t have homeless people and poverty. To understand what you’re getting yourself into you better compare China and USA in terms of GDP per Capita. I am not “pro-USA”. As a matter of fact, I am trying to be as unbiased as possible. I am well aware that China is growing incredibly fast. And I acknowledge the positive sides of China too. I once said that China’s railway infrastructure is so much better than America’s. They have invested billions in railway construction and technology! I also said China has more skyscrapers because of their high population. I hate it when people tell lies on a popular thread like this one because we have millions of viewers. They will take away the lies thinking that the information is true. Think of me however you wish. Heck..you can hate me for all I care, but I won’t sit around and let your lies and propaganda spread like a wildfire!
 
Back
Top Bottom