i-post basi
Kunyaland habari za Tanzania zinalipa sana ndio magazeti yao front page ni habari za bongo tu
Kwanza unaelewa maana ya "bicycle"..wewe kwa akili zako hata bajaji utaiita baiskeli!Bicycle unaweza kui-modify ikawa tricycle we jomba acha ubishi wa kijinga hapa..
Tricycle ni kimekuja kutokana na modifications tu wala hamna lolote
Kwn aliyesema kwamba Magu atakuwa hafi nani, nani huyo mwenye mamlaka ya kuzuia kifo hebu tuambie tumjue.Hayo yote imewafikisha wapi? Mkulu ako wapi saa hii?
Niliwahi kuwaambia humu wakaona nna wivu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1739793
Hizi interchange ni za miaka ya zamani mno na ndo zenye disadvantages kuliko,ni kama leo unakuja na TV la chogo afu uko bize kutamba,nimewavulimia ila nimechoka achane basi,au kwa sababu yana aerial view nzuri kwa hiyo miduara?!sioni tofauti na yale maua kwny vitambaa vya makochi na mashuka waliokuwa wanashona mama zetu enzi zile.
Bajaji ni kampuni mkuu, emu nifafanulie bajaji ya muumdo gani hyo sasaKwanza unaelewa maana ya "bicycle"..wewe kwa akili zako hata bajaji utaiita baiskeli!
Na pia km nilivyokujuza, tricycle ni modification either kutokana na miskoto au mashine km vile(piki piki)..Kwanza unaelewa maana ya "bicycle"..wewe kwa akili zako hata bajaji utaiita baiskeli!
Watu wanapiga hela we baki ukilia lia hapo, akibeba watu kumi ako na elfu moja..tena sio ya madafu ujudMbingu na ardhi wapi na wapi[emoji1787][emoji1787][emoji116]View attachment 1739804View attachment 1739805View attachment 1739806View attachment 1739807View attachment 1739808
Kanunue router jamani angalau na wewe uepukane na kuangalia salio..Unapenda vya bure utaliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uliweka picha ya mwaka gani, naona 1980s[emoji23][emoji23]View attachment 1739793
Hizi interchange ni za miaka ya zamani mno na ndo zenye disadvantages kuliko,ni kama leo unakuja na TV la chogo afu uko bize kutamba,nimewavulimia ila nimechoka achane basi,au kwa sababu yana aerial view nzuri kwa hiyo miduara?!sioni tofauti na yale maua kwny vitambaa vya makochi na mashuka waliokuwa wanashona mama zetu enzi zile.
Sio kila mtu akifa ni corona na pia vile vile sio kila anayekufa kw corona basi lazima eti waliokua karibu nae watakufa..Kwn aliyesema kwamba Magu atakuwa hafi nani, nani huyo mwenye mamlaka ya kuzuia kifo hebu tuambie tumjue.
Yn hii mikenya nilikuwa cjui km ni mijinga, yenyewe iko kipesa tu kila kifo ni corona ili ipige hela, yameweka pesa mbele mpk yanasahau utu, hivi wewe bogus km Magu angekufa kwa corona unadhani SSH angeendelea kudunda bila barakoa? Hutumii japo akili ndogo km ss hilo bichwa ulipewa la nn?
Kipande Cha Zege hiyo wee jamaaHii ni lami iliyoparara😂😂😂 kabishane na Magufuli.View attachment 1738614