diamond d
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 812
- 2,049
MASWALI FIKIRISHI
HIVI JPM ALIKUWA ANAMAANISHA NINI?
1. Mniombee
2. Tumtangulize Mungu kwanza tusije muacha
3. Hii ni vita ya kiuchumi mi nayajua mengi
4. Kufa tuta kufa tu iwe kwa malaria...
5. Chapeni kazi
6. Siku moja mtanikumbuka kwa mazuri tu
7. Msifikiri mnapendwa
8. Tusibaguane kwa vyama, kabila au dini
9. Maendeleo hayana chama
10. Raisi wa wanyonge
Halafu nafunga na Coincidence ya No. 5.
HIVI JPM ALIKUWA ANAMAANISHA NINI?
1. Mniombee
2. Tumtangulize Mungu kwanza tusije muacha
3. Hii ni vita ya kiuchumi mi nayajua mengi
4. Kufa tuta kufa tu iwe kwa malaria...
5. Chapeni kazi
6. Siku moja mtanikumbuka kwa mazuri tu
7. Msifikiri mnapendwa
8. Tusibaguane kwa vyama, kabila au dini
9. Maendeleo hayana chama
10. Raisi wa wanyonge
Halafu nafunga na Coincidence ya No. 5.





