Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,789
Mwigulu hatoshi Wizara ya Fedha!What I see to Mama Baraza la mawaziri amejipanga, vema
Mwigulu hatoshi Wizara ya Fedha!What I see to Mama Baraza la mawaziri amejipanga, vema
Mwigulu hatoshi Wizara ya Fedha!
alikuwa too much of a fanatic nadhani mama anajaribu kujenga mahusiano mazuri na foreign countries!ila kabudi ile wizara ya nje ilimfaa sana.. ngoja tuone huyu mpya atakuwaje
Tz tunakufa kwa hayo magonjwa na ndiyo maana tumechukulia kwamba covid ni moja ya hayo magonjwa ila lenye very little impact na ndiyo maana tunadunda bila barakoa wala lockdown, yn kwa kifupi hatuna habari na corona, mpk hao wenye biashara yao wakisema imekwisha basi hawatakuwa wamepiga pesa from Tz.Tanzania ndio watu hawafi kwa hizo vitu umetaja? Your level of hate and bile is sickening!
wizara ya Fedha si trial and error!ila kabudi ile wizara ya nje ilimfaa sana.. ngoja tuone huyu mpya atakuwaje
Kwn katolewa? Na kawekwa wapi?ila kabudi ile wizara ya nje ilimfaa sana.. ngoja tuone huyu mpya atakuwaje
Kwn katolewa? Na kawekwa wapi?
wizara ya Fedha si trial and error!
Huyu Maza ni full of surprises 😀😀😀😀mama kweli balaa.. katangaza baraza la mawaziri hapohapo fasta![]()
mzizima likiisha litakua mwana ukome
Mwanaharakati wa twitter kapigwa tenaHuyu Maza ni full of surprises![]()



🤣🤣🤣🤣🤣Kweli mama la mama 👏👏👏Mwanaharakati wa twitter kapigwa tena
Kweli Mama hatabiriki.
Nimeliona leo bado wapo kwenye cladding. Ila leo nmeona mashine zipo bize kweli kweli.mzizima likiisha litakua mwana ukomeView attachment 1739571
mwigulu kazi anaiweza! tatizo mambo mengi sana yule na si dhani kama atamaliza 2yrs asipokua mtulivuAisee hapa naona mama kama kateleza Mwigulu wizara ya Fedha? mbona simuamini!
Wewe ni kimbaTanzania ndio watu hawafi kwa hizo vitu umetaja? Your level of hate and bile is sickening!



Atatosha atake asitake.Mwigulu hatoshi Wizara ya Fedha!