Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839


huyo engeneer naona alitaka kujenga safina ya matofali ili aonekane kuwa kamzidi Nuhu kwa kumodify


huyo engeneer naona alitaka kujenga safina ya matofali ili aonekane kuwa kamzidi Nuhu kwa kumodifyAma kwa hakika Watz tumeguswa mno, hv unajua mpk leo huku mtaani habari ni za Magu tu? Yani watu hawajaamini na wamegoma kabisa kuamini, jana umeme ulikatika kutokana na hali ya hewa basi kuna mama mmoja akasema "Magu angekuwepo wasingefanya ujinga wa kukata umeme na kutourudisha mpk ss"Nakuunga mkono kaka, binafsi niliumia sana, na nnajua watanzania asilimia kubwa tumeguswa, tumuombee pumziko zuri, pia tumuombee Mama awe imara asitikisike na baadhi ya watu.

nilicheka moyoni lkn nikasema maneno km haya nna uhakika yataendelea kuwepo kwa mda mrefu sn na ndiyo maana naiona kazi ngumu aliyonayo Rais Samia cz Watz walikuwa na matarajio makubwa na imani kubwa mno kwa Magu na ndiyo maana wapinzani wake wakawa wanachukia sana cz kila kitu Magu Magu Magu.Kweli kabisa ndugu yangu ni moja kati ya pigo kubwa kuwahi kutokea ulimwenguni kwa upande wanguPole sana kaka nilipoona upo kimya mda wote nikajua Naton Jr ni miongoni mwa walioumizwa mno kwa msiba huu, pole sana mkuu mm binafsi nmelia sana ila mwishowe ikabidi nikubali tu, ngj tuone kama mama ataendeleza maono ya Magu ili tuendelee kuwepo humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmeshindwa kuisikiliza hotuba yake cz nipo busy kdg, ili aogopwe ni lazima awa sacrifice watu.Naona mama kaanza kazi kashamchomoa wa bandari
Pole Sana brother,tumeumia wote,hasa kwa wale tuliomuelewa alikokuwa anatupeleka,mpaka Sasa inaniuma sanaNinachofarijika ni kwamba ama kwa hakika watanzania tumemuombolezea Magufuli wetu inavyopasa
Dunia nzima imetambua Magufuli alikua nani kwa watanzania, haijawahi kutokea Africa nzima mtu kuombolezewa kama Magufuli, watanzania hakika tumempa heshima yake stahiki
Kingine nimefarijika zaidi ni namna katika uhai wake tulimuonesha wazi wazi kwamba tunampenda sana na kutambua wazi thamani yake kwetu, hatujamsifia mema yake akiwa tayari mfu bali angali anaishi hivyo aliondoka akijua moyoni watanzania wananipenda
Kaondoka Jina lake likiwa tayari linaenziwa kama Magufuli Bridge kule Morogoro, JPM Bridge Busisi, Magufuli City Dodoma, Magufuli Terminal Dar, Magufuli Annex Chamwino etc
Binafsi Mungu anijalie wa kiume na mimi niweze kumuenzi kwa aina yangu
Magufuli utabaki moyoni mwangu daima sababu toka nimepata akili sijawahi kumlilia binadamu mwenzangu namna nimekulilia, nimempoteza mama yangu mdogo niliekua nikimuuguza juzi kati lakini sijadondosha hata tone la chozi ila Magufuli nimekulilia toka nimepokea taarifa mpaka dakika hii.
Hujafa wala hutokaa ufe, unaishi kwenye fikra zetu Daima.
af maza ni mtu wa facts na muumini wa mama Tanzania
MY TAKE
Rais Samia is on fire, TPA boss is suspended paving a way for investigation over the loss of Tshs 3.9 bln!
CC: Tony254
Aawapii kafanya nn meaningful zaidi ya porojo! nakumbuka alihaidi kupima ardhi nchi nzima na kuipa hati na kuwa na Landuse database for the whole country! Ila wapii hamna kitu mpaka sasa!? katika watendaji wabovu wa baraza la Mawaziri ni yeye!kuna kichwa nakikubali kinaitwa william lukuvi uyu akipewa kua VP mbona nchi itanyooka zaidi ata ya hayati Dr jpm.
pili wizara ya fedha na ya mambo ya nje(napenda kuziita crucial ministries) ipo na vichwa imara mpango na kabudi respectively.
mama samia atakua kama Angela Merkel.
nnacho hofia ni kupata visionary leader unlike magu, labda wanaotengeneza ilani ya chama wawe na visionary projects n agenda.
Lukuvi hamna kitu mkuu.kuna kichwa nakikubali kinaitwa william lukuvi uyu akipewa kua VP mbona nchi itanyooka zaidi ata ya hayati Dr jpm.
pili wizara ya fedha na ya mambo ya nje(napenda kuziita crucial ministries) ipo na vichwa imara mpango na kabudi respectively.
mama samia atakua kama Angela Merkel.
nnacho hofia ni kupata visionary leader unlike magu, labda wanaotengeneza ilani ya chama wawe na visionary projects n agenda.
Kunahitajika an Economist with track records! Baada ya hizi Megaprojects kukamilika kuna umuhimu wa kujiandaa na kuweka mazingira ya ufanisi wake! mtu anatakayeweza kumshauri Samia Suluhu juu ya ku-stimulate economy through right investments!
historia yake katka taifa hili inambeba n kama mkuchika tuu ila ameisha saivi au wizara ngumu simuelewi kabisaasee ntakua nmeingizwa chaka apa lukuvi uyu uyu nliyepewa sifa zake nyigi tuu uraiani
Fisadi tu huyo hana lolote, wizara ya ardhi ni moja kati ya wizara mbovu kupindukia na hachukui hatua zozote zaidi ya kufanya mambo kisiasa tu.asee ntakua nmeingizwa chaka apa lukuvi uyu uyu nliyepewa sifa zake nyigi tuu uraiani
DAR-KEST-SLUMView attachment 1736353
Dar yafanana hivi 90%. Ill prove
haha mkuu inaonekana ana ngekewa ya kuteuliaa serekalini.. imebidi niangalie almater yake, kweli hajashiba kitabu kiviile kumbe ni wa kawaida tuu uyuFisadi tu huyo hana lolote, wizara ya ardhi ni moja kati ya wizara mbovu kupindukia na hachukui hatua zozote zaidi ya kufanya mambo kisiasa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio vzr kuongea mambo ya watu ila kuna jamaa yangu alinipa story moja hv kitambo kidogo, yeye alikuwa dereva nyumbani kwa Lukuvi, anakuambia kuna wakati alikuwa anamsikia anaongea na simu anasema "hii dili yule mkuda asijue ataharibu" huyo mkuda wanayemzungumzia ni Magufuli enzi hizo akiwa waziri wa ujenzi.historia yake katka taifa hili inambeba n kama mkuchika tuu ila ameisha saivi au wizara ngumu simuelewi kabisa
lukuvi hamna kitukuna kichwa nakikubali kinaitwa william lukuvi uyu akipewa kua VP mbona nchi itanyooka zaidi ata ya hayati Dr jpm.
pili wizara ya fedha na ya mambo ya nje(napenda kuziita crucial ministries) ipo na vichwa imara mpango na kabudi respectively.
mama samia atakua kama Angela Merkel.
nnacho hofia ni kupata visionary leader unlike magu, labda wanaotengeneza ilani ya chama wawe na visionary projects n agenda.
aiseeSio vzr kuongea mambo ya watu ila kuna jamaa yangu alinipa story moja hv kitambo kidogo, yeye alikuwa dereva nyumbani kwa Lukuvi, anakuambia kuna wakati alikuwa anamsikia anaongea na simu anasema "hii dili yule mkuda asijue ataharibu" huyo mkuda wanayemzungumzia ni Magufuli enzi hizo akiwa waziri wa ujenzi.
Unaambiwa hiyo ilikuwa michongo ya dili za dawa za kulevya makontena yanaingia, lkn kuna ishu zingine Magu alikuwa anasema "mama yangu hii hapana Mungu hapendi" japo jamaa aliniambia kuna dili ambazo Magu alikuwa anazikubali lkn zingine alishindwa kabisa kuvumilia na ndiyo maana baadhi ya mawaziri wakawa kama wanamkataa, kumbuka enzi hizo Magu ni waziri.
Jamaa yangu aliniambia Lukuvi alikuwa anarudi na mabegi ya pesa kila siku kwa dili haramu walizokuwa wanapiga.
Sent using Jamii Forums mobile app
