Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nakuunga mkono kaka, binafsi niliumia sana, na nnajua watanzania asilimia kubwa tumeguswa, tumuombee pumziko zuri, pia tumuombee Mama awe imara asitikisike na baadhi ya watu.
Ama kwa hakika Watz tumeguswa mno, hv unajua mpk leo huku mtaani habari ni za Magu tu? Yani watu hawajaamini na wamegoma kabisa kuamini, jana umeme ulikatika kutokana na hali ya hewa basi kuna mama mmoja akasema "Magu angekuwepo wasingefanya ujinga wa kukata umeme na kutourudisha mpk ss" nilicheka moyoni lkn nikasema maneno km haya nna uhakika yataendelea kuwepo kwa mda mrefu sn na ndiyo maana naiona kazi ngumu aliyonayo Rais Samia cz Watz walikuwa na matarajio makubwa na imani kubwa mno kwa Magu na ndiyo maana wapinzani wake wakawa wanachukia sana cz kila kitu Magu Magu Magu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kaka nilipoona upo kimya mda wote nikajua Naton Jr ni miongoni mwa walioumizwa mno kwa msiba huu, pole sana mkuu mm binafsi nmelia sana ila mwishowe ikabidi nikubali tu, ngj tuone kama mama ataendeleza maono ya Magu ili tuendelee kuwepo humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa ndugu yangu ni moja kati ya pigo kubwa kuwahi kutokea ulimwenguni kwa upande wangu

Tumpe mama support tuliokua tunampa JPM, JPM pamoja na utashi, maarifa, maono na Intel yake kuwa kubwa kupindukia lakini pia imani ya watanzania juu yake iliongeza kasi na ubora wa utendaji wake

Tulimpa imani na kuona ana deni kubwa huenda hata zaidi alivyokua amejipanga awali, tumpe mama hiyo imani na ushirikiano kadri tulivyo fanya kwa JPM nae ataona ana deni kubwa sana

Mzee wa Chato alimwambia uongozi wake utapimwa kwa uongozi wa JPM nafikiri hatokua ameichukulia hiyo kauli simple.
 
Ninachofarijika ni kwamba ama kwa hakika watanzania tumemuombolezea Magufuli wetu inavyopasa

Dunia nzima imetambua Magufuli alikua nani kwa watanzania, haijawahi kutokea Africa nzima mtu kuombolezewa kama Magufuli, watanzania hakika tumempa heshima yake stahiki

Kingine nimefarijika zaidi ni namna katika uhai wake tulimuonesha wazi wazi kwamba tunampenda sana na kutambua wazi thamani yake kwetu, hatujamsifia mema yake akiwa tayari mfu bali angali anaishi hivyo aliondoka akijua moyoni watanzania wananipenda

Kaondoka Jina lake likiwa tayari linaenziwa kama Magufuli Bridge kule Morogoro, JPM Bridge Busisi, Magufuli City Dodoma, Magufuli Terminal Dar, Magufuli Annex Chamwino etc

Binafsi Mungu anijalie wa kiume na mimi niweze kumuenzi kwa aina yangu

Magufuli utabaki moyoni mwangu daima sababu toka nimepata akili sijawahi kumlilia binadamu mwenzangu namna nimekulilia, nimempoteza mama yangu mdogo niliekua nikimuuguza juzi kati lakini sijadondosha hata tone la chozi ila Magufuli nimekulilia toka nimepokea taarifa mpaka dakika hii.

Hujafa wala hutokaa ufe, unaishi kwenye fikra zetu Daima.
Pole Sana brother,tumeumia wote,hasa kwa wale tuliomuelewa alikokuwa anatupeleka,mpaka Sasa inaniuma sana
 
kuna kichwa nakikubali kinaitwa william lukuvi uyu akipewa kua VP mbona nchi itanyooka zaidi ata ya hayati Dr jpm.
pili wizara ya fedha na ya mambo ya nje(napenda kuziita crucial ministries) ipo na vichwa imara mpango na kabudi respectively.
mama samia atakua kama Angela Merkel.

nnacho hofia ni kupata visionary leader unlike magu, labda wanaotengeneza ilani ya chama wawe na visionary projects n agenda.
Aawapii kafanya nn meaningful zaidi ya porojo! nakumbuka alihaidi kupima ardhi nchi nzima na kuipa hati na kuwa na Landuse database for the whole country! Ila wapii hamna kitu mpaka sasa!? katika watendaji wabovu wa baraza la Mawaziri ni yeye!
 
kuna kichwa nakikubali kinaitwa william lukuvi uyu akipewa kua VP mbona nchi itanyooka zaidi ata ya hayati Dr jpm.
pili wizara ya fedha na ya mambo ya nje(napenda kuziita crucial ministries) ipo na vichwa imara mpango na kabudi respectively.
mama samia atakua kama Angela Merkel.

nnacho hofia ni kupata visionary leader unlike magu, labda wanaotengeneza ilani ya chama wawe na visionary projects n agenda.
Lukuvi hamna kitu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1736353
Dar yafanana hivi 90%. Ill prove
DAR-KEST-SLUM
Screenshot_20200904-130149_1599213903719.jpg
 
historia yake katka taifa hili inambeba n kama mkuchika tuu ila ameisha saivi au wizara ngumu simuelewi kabisa
Sio vzr kuongea mambo ya watu ila kuna jamaa yangu alinipa story moja hv kitambo kidogo, yeye alikuwa dereva nyumbani kwa Lukuvi, anakuambia kuna wakati alikuwa anamsikia anaongea na simu anasema "hii dili yule mkuda asijue ataharibu" huyo mkuda wanayemzungumzia ni Magufuli enzi hizo akiwa waziri wa ujenzi.

Unaambiwa hiyo ilikuwa michongo ya dili za dawa za kulevya makontena yanaingia, lkn kuna ishu zingine Magu alikuwa anasema "mama yangu hii hapana Mungu hapendi" japo jamaa aliniambia kuna dili ambazo Magu alikuwa anazikubali lkn zingine alishindwa kabisa kuvumilia na ndiyo maana baadhi ya mawaziri wakawa kama wanamkataa, kumbuka enzi hizo Magu ni waziri.

Jamaa yangu aliniambia Lukuvi alikuwa anarudi na mabegi ya pesa kila siku kwa dili haramu walizokuwa wanapiga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna kichwa nakikubali kinaitwa william lukuvi uyu akipewa kua VP mbona nchi itanyooka zaidi ata ya hayati Dr jpm.
pili wizara ya fedha na ya mambo ya nje(napenda kuziita crucial ministries) ipo na vichwa imara mpango na kabudi respectively.
mama samia atakua kama Angela Merkel.

nnacho hofia ni kupata visionary leader unlike magu, labda wanaotengeneza ilani ya chama wawe na visionary projects n agenda.
lukuvi hamna kitu
 
Sio vzr kuongea mambo ya watu ila kuna jamaa yangu alinipa story moja hv kitambo kidogo, yeye alikuwa dereva nyumbani kwa Lukuvi, anakuambia kuna wakati alikuwa anamsikia anaongea na simu anasema "hii dili yule mkuda asijue ataharibu" huyo mkuda wanayemzungumzia ni Magufuli enzi hizo akiwa waziri wa ujenzi.

Unaambiwa hiyo ilikuwa michongo ya dili za dawa za kulevya makontena yanaingia, lkn kuna ishu zingine Magu alikuwa anasema "mama yangu hii hapana Mungu hapendi" japo jamaa aliniambia kuna dili ambazo Magu alikuwa anazikubali lkn zingine alishindwa kabisa kuvumilia na ndiyo maana baadhi ya mawaziri wakawa kama wanamkataa, kumbuka enzi hizo Magu ni waziri.

Jamaa yangu aliniambia Lukuvi alikuwa anarudi na mabegi ya pesa kila siku kwa dili haramu walizokuwa wanapiga.

Sent using Jamii Forums mobile app
aisee
 
Back
Top Bottom