ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kwani huitaki 😄😄😄😄Hzi pia umetoa the east african
Kwani huitaki 😄😄😄😄Hzi pia umetoa the east african
Leteni competition Congo. Sisi hatuna shida.Have u considered the fact that taking loan to expand puts that bank in precarious situation, any competition in the market the bank has entered can cause a serious challenge to a business that uses loan to expand!
As for now i know CRDB Bank will enter Eastern Congo market and a war of low interest rates will ensure!
![]()
CRDB Bank names head of Burundi operations
CRDB Bank Plc’s Burundi subsidiary now has a new boss. The bank announced in Dar es Salaam yesterday that it has appointed Fredrick Siwale (pictured) as the new managing director for CRDB Bank...www.thecitizen.co.tz
![]()
Sasa wapi hapo wameandika kwamba wao hubeba empty containers from Mombasa. Wewe kichwa chako hakifanyi vizuri. Empty containers huwa zinatokea Nairobi zikielekea Mombasa. Kenya is a net importer country. So containers zinazotoka Mombasa kuelekea Nairobi huwa zina mizigo. Wacha wivu wewe.Nawaambiaga hubeba empty containers jamaa hubisha! Haya kiko wap?
Tony254
Wacha tumalize mjadala kwa kukubaliana kwamba kuna msongamano wa magari katika maeneo yalio karibu na port. Na hii ndio maana wanajenga interchanges karibu na port. Natumai hapo tumeelewana ichoboy01 kwa sababu hapa natumia maneno yako mwenyewe. Au bado utapinga kauli yako wewe mwenyewe?Msongamano kutoka na kuingia port au hujui maana yake ??? Hujiulizi kwann wanajeng maeneo ya port kwann sio maeneo mengine
Sasa wapi hapo wameandika kwamba wao hubeba empty containers from Mombasa. Wewe kichwa chako hakifanyi vizuri. Empty containers huwa zinatokea Nairobi zikielekea Mombasa. Kenya is a net importer country. So containers zinazotoka Mombasa kuelekea Nairobi huwa zina mizigo. Wacha wivu wewe.
hamna mtambo wa scanner kama huu ndo maana doublestack haiwezekani! kingine mna axle load limit ya 25 tons agianst axle load of 35 tons for electrical SGR Tanzania!
![]()
Onyesha doublestack wagon zikipimwa Mombasa port!
Onyesha
pavement na majani labda ila miti port area baba... vishoka watajificha!safi, wakifanya maboresho.. waboreshe na mazingira kidogo pia... mfano miti, majan au hata pavement
Wao wametoa wapi

Ukiniletea official source kutoka KQ hata sitobishana tena, lkn eti huo upupu sijui wa ku crop vitu basi naona hapa leo utachoka sana
Nani kakwambia hzo interchange ni za kuingilia port, we mzee baba kweli umerogwa..Msongamano kutoka na kuingia port au hujui maana yake ??? Hujiulizi kwann wanajeng maeneo ya port kwann sio maeneo mengine
Mumepata faida kiasi gani, hapo ndipo kwenye goma linapoanzia sasaHatuna mpunzani kwenye domestic over 80% soko lote la ndani air tanzania imelishika wewe utatuambia nn![]()
Hyo ndio source kutoka KQ..Mm sikuachi broulifkiri munatumia mawe kulipa
Huenda ilikua anamaanisha msongamano wa watembea kw miguu..Hahaha. Huyo ichoboy01 amechanganyikiwa. Yeye mwenyewe amesema kwamba Mombasa ina msongamano wa magari kwa sababu ya port kisha baadaye anabadili mawazo na kuitisha evidence ya msongamano.