Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unapoongea jaribu kufikiri, asa Unakuta mtu anasema anataka maendeleo ya watu sio ya vitu, asa watu wataendeleaje bila ya vitu?? Watu wapo tena wengi, we ukiwa na Familia kubwa tayari labda mpo 15 single house, utaanza utafanyaje??

Ila Ujitahidi na wewe kutumia brain uliyonaiona, Hivi mataifa makubwa huoni kwanza inavyo invest kwenye miundo mbinu?? Au wewe unafikiri hao watu watabeba bidhaa kwa mguu mpk Congo??
Hii pinga pinga ya Lissu kuhusu miradi ya maendeleo aliyokuwa anatekeleza JPM ndio ilifanya nimuone Lissu ni kichaa tena cha ngiri. Hayo maendeleo ya watu ni yapi ambayo hayausiani na vitu? Wanaishia tu kusema maendeleo ya watu halafu hawafafanui hayo maendeleo ya watu ni yapi na maendeleo ya vitu ni yapi. Mi binafsi napenda sana upinzani imara uwepo ili uichallenge serikali iliyoko madarakani kwa hoja mbadala za maendeleo. Lakini cha ajabu kwa sasa TZ tuna upinzani wa kutukana na kukubehi bila kuleta hoja mbadala kutoka kwenye vyama vyao!
KWA UFUPI KWA SASA TZ HATUNA SERIOUS UPINZANI BALI MAKUWADI WA MABEBERU NA WALALAMIKAJI UCHWARA TU. UPINZANIA UNATAKIWA UBADILI MBINU NA MIKAKATI YA KUPAMBANA NA CCM VINGINEVYO THEY WILL ALWAYS STAY IN THE SAME COMMOTION.
 
Dodoma inavutia sana

Magufuli tutakukumbuka 😭😭😭😭

ExGS7E3W8Aob_Fc.jpg
ExGS9LMWYAQjEj1.jpg
ExGTAd5XAAItPZr.jpg
 
Umemsikia mama samiah alivosema kamba uzi ni ule ule na alipoishia mzee ndio wao watakapoendelea sasa usitegemee unayotegemea mm nakupa pole wa kwanza
Staili haiwezi kuwa sawa ko wewe umeamua kuchukua hicho kipengele tuu maana kimekufurahisha.

Wait mihemko ya msiba iishe saizi ulitaka asemaje sasa
 
Zaidi ya kuboresha miundombinu, kujenga shule, Hospital, kuwapunguzia kodi wananchi, kusambaza umeme na maji, kuongeza uzalishaji wa chakula na kudhibiti mfumuko wa bei, ni nini utaita ni ustawi wa watu?
Jambo kubwa kabisa ni freedom of expression,economic freedom na kuboresha mazingira ya watu kujiajiri.

Ni lini uliwahi kusikia graduate wa Tzn kwenye utawala huu anatamani kujiajiri badala ya kuajiriwa? Lakini kipindi cha JK watu waliacha Utumishi wa umma Ili wajiajiri maana mazingira yalikuwa rafiki na watu walikuwa na purchasing power.

Huyo bwana kawafukarisha Sana wanyonge hasa wanaotegemea kilimo kwa sera zake za uhasama na majirani.Kesi ya korisho,mahindi,mbaazi,ufuta nk nk

Huyo bwana aliharibu Sana mfumo wa ajira za mkataba, yaani kama wewe ni skilled personel ukiachishwa Kazi you won't get your pension hadi ufikishe 60 years sasa hii ni nini? Ukistaafu unakaa miaka sio 2 ndio upate pension kwa watumishi wa umma.

Hao wanaojiita wanyonge ni ngumu Sana kuwaelewa kwamba maisha yao yalikuwa mazuri kipindi hiki au furaha yao ni kuitwa wanyonge na kuwakomoa Matajiri?

Kauli ya nimesacrifice maisha kwa ajili ya wanyonge, technically iliwafariji but practically haikuwasaidia popote kwenye kuwatoa kwenye umaskini na kuwapa hali njema

Kwa hiyo hao wanyonge wanachokieleza zaidi ni kuruhusiwa kufanya biashara hovyo na popote na bila utaratibu, biashara zenyewe ndio hizo za umachinga za kula na kunywa na kununua vitambulisho sijui kama kuna kingine.
 
Huyu mzee ana maneno, eti anasema unapoona mtu asiyependa kusafiri safiri lkn amefunga safari kuja kwako lazima uji feel special, kuna jinsi alivyoiongea hyo statement ni tamu sn ila mtafsiri aliikosea basi watu wakaanza kuguna kwamba hajaitendea haki ile statement.
Hiyo statement ndiyo imesababisha hali hii kutokea 👇

Jakaya.jpg
 
Back
Top Bottom