Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20210322-154155.jpg
 
Yaani hata hawa majirani zenu wanaowapenda wameshindwa kutuma naibu rais au hata waziri wa mambo ya nje? Wakatuma balozi wao aliye Dar? Na hawa ndio marafiki zenu wa karibu? Inashangaza sana
 
Yaani hata hawa majirani zenu wanaowapenda wameshindwa kutuma naibu rais au hata waziri wa mambo ya nje? Wakatuma balozi wao aliye Dar? Na hawa ndio marafiki zenu wa karibu? Inashangaza sana
Ila hata mimi sikupingi licha ya uzandiki wenu ila mko na kamapenzi na tanzania tofauti na waganda nawajua sana ni watu wabinafsi
 
Yaani hata hawa majirani zenu wanaowapenda wameshindwa kutuma naibu rais au hata waziri wa mambo ya nje? Wakatuma balozi wao aliye Dar? Na hawa ndio marafiki zenu wa karibu? Inashangaza sana
Ukimaanisha?
 
Yaani hata hawa majirani zenu wanaowapenda wameshindwa kutuma naibu rais au hata waziri wa mambo ya nje? Wakatuma balozi wao aliye Dar? Na hawa ndio marafiki zenu wa karibu? Inashangaza sana
waswahili tuna msemo Akufaaye kwa dhiki ndie rafiki
ngoja tusubiri mazishi yake 😢😢
 
Back
Top Bottom