Kenya iko huru tangu lini?Nyie ndio mnaweweseka, alafu vitu vingine vinatakaiwa uwe unafikiria kabla ya kuongea..
Sasa na yeye akisema kati ya wale wote waliofika hapo hakuna aliyetusaidia kupigania uhuru atakua kakosea..
Huaga mnatulaumu bure lkn ukweli hatukusaidiwa na yyte yule katika swala lote la kupigania uhuru wetu..
Najua kuna mtu atakuja kujibu pumba, km hujaelewa usijibu tafadhali
M7 na hata kagame wameonesha rangi zao halisi, yani wameshindwa na majirani wa mbali kabisa, nampongeza uhuru ameonesha ujirani wa kweli🙏🏿✌🏿✊🏿Uganda wametuma balozi wao wa Dar kumwakilisha M7. Hata hawawezi kutuma naibu rais? Hawa ndio marafiki zenu?
Hapo vipisasa hutaki?
Lkn hapo ingelikua kenyatta mgelitupigia kelele mwezi mzima..Hata Mimi nimeshindwa kuelewa But haijaharibu kitu!!
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Ukienda msibani usisite kumuuliza marehemuKenya iko huru tangu lini?
Acha uchonganishi,M7 utastukia yupo Chato yule hanaga unafiki.Uganda wametuma balozi wao wa Dar kumwakilisha M7. Hata hawawezi kutuma naibu rais? Hawa ndio marafiki zenu?
Duuuh!!! Maana msiba ulisimamisha dunia
CC: Tony254Hehehehehe huyu Cyril Ramaphosa ametaja nchi zilizoisaidia SA kupata uhuru kataja zote ila Kenya haipo alafu kamalizia na baba lao Tz. Dah Uhuru kama namuona alivyojisikia aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani hujui kenya na Tanzania Ni ndugu...sasa nyie hamuwezi kutuacha ata iweje hata sisi vilevile. ...sema mna midomo mirefu sana haina break...mbona kumbambikia Magu magonjwa yasiomuhusu?na zile kelele alikua Nairobi zimeishia wapLkn hapo ingelikua kenyatta mgelitupigia kelele mwezi mzima..
Unafiki tu lkn ukweli mnaujua kuhusu nani rafiki na mtani wenu wa kutoka jadi
Watakuja kwenye mazishiM7 na hata kagame wameonesha rangi zao halisi, yani wameshindwa na majirani wa mbali kabisa, nampongeza uhuru ameonesha ujirani wa kweli🙏🏿✌🏿✊🏿
Hakuna undugu na hatuachani kwani tumeoana?Kwani hujui kenya na Tanzania Ni ndugu...sasa nyie hamuwezi kutuacha ata iweje hata sisi vilevile. ...sema mna midomo mirefu sana haina break...mbona kumbambikia Magu magonjwa yasiomuhusu?na zile kelele alikua Nairobi zimeishia wap
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Sio kila kitu kinakuhusuHakuna undugu na hatuachani kwani tumeoana?
Bado Kuna mazishi chatoM7 na hata kagame wameonesha rangi zao halisi, yani wameshindwa na majirani wa mbali kabisa, nampongeza uhuru ameonesha ujirani wa kweli[emoji1545][emoji1536][emoji1535]