Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hili wazo sidhani kama tunapaswa kuliacha lipite hv hv.

Screenshot_20210323-015215.jpg
 
Kwanini Magufuli alijenga kipande cha Mwanza Isaka harakaharaka kabla ya vipande vingine hapo katika?

My take, ni kwamba alijua atakufa mapema kwa hiyo wacha afanye hivyo ili ndoto yake ya SGR kufika Mwanza itimie sababu come rain come shine lazima vipande vya katikati vitajengwa tu, tofauti na kama ingeishia Isaka, ingeweza isiendelezwe tena na ika make sense.

Magufuli alipewa Macho ya kuona mbali sana 😭😭😭😭😭😭
 
Naamini kama Magufuli alipata wasaa wa kujiongozea mwenyewe sala yake ya kifo na kuiaga family yake

Bila shaka pia alitoa pendekezo la nani awe Rais 2025 na TISS walikuepo na records zote zipo, tusiwe na shaka lazima alipropose the best for us
 
Naamini kama Magufuli alipata wasaa wa kujiongozea mwenyewe sala yake ya kifo na kuiaga family yake

Bila shaka pia alitoa pendekezo la nani awe Rais 2025 na TISS walikuepo na records zote zipo, tusiwe na shaka lazima alipropose the best for us

hii ya records hata mim nimefikiria .. nimefikiria hiv.. baada ya kuzikwa utasikia mama Samia atasema familia ya magu imekubali kutoa record/mkanda inayoonyesha jinsi magu alivyoongoza sijui nyimbo na maombi aliyaongoza akiwa hospitali .. au pale mapadri walivyomtembelea.. mim nasubir tu nione kama itakuwa hivyo kweli .. afu nimefikiria watu watabisha.. watasema imeeditiwa hadi movement ya mdomo
 
Naamini kama Magufuli alipata wasaa wa kujiongozea mwenyewe sala yake ya kifo na kuiaga family yake

Bila shaka pia alitoa pendekezo la nani awe Rais 2025 na TISS walikuepo na records zote zipo, tusiwe na shaka lazima alipropose the best for us
wacheni speculations kumbukeni video kama hizo zinaweza pia kumuharibia kama alijiingiza kwenye ku-suggest nani achaguliwe 2025! Kumbukeni yule ni binadamu na not necessarily alikuwa perfect!

BTW kama mmegundua kumekuwa na picha nyingi za mkuu wa majeshi na mkuu wa polisi zikishukuru solidarity kati yao!

Na hatujui nini kimetokea nyuma ya pazia inawezekana kumekuwa na nguvu kinzani kwenye mrithi wa JPM! na inakaa jamaa wakasimama na katiba! msitake kuibua madudu!
 
Kwanini Magufuli alijenga kipande cha Mwanza Isaka harakaharaka kabla ya vipande vingine hapo katika?

My take, ni kwamba alijua atakufa mapema kwa hiyo wacha afanye hivyo ili ndoto yake ya SGR kufika Mwanza itimie sababu come rain come shine lazima vipande vya katikati vitajengwa tu, tofauti na kama ingeishia Isaka, ingeweza isiendelezwe tena na ika make sense.

Magufuli alipewa Macho ya kuona mbali sana 😭😭😭😭😭😭
mambo ya kawaida msianze speculations!
 
Unategemea kwamba atawaachia majizi na mafisadi na wapiga dili muchezee pesa za serekali hio kitu sahau maisha yako yote

Jipe matumaini hvo hvo
Hakuna Rais aliwahi kuwaachia majizi,nani kafungwa kwa wizi awamu hii? Ukipata jibu nitag
 
Inajulikana ukiwa unajiamini watu wnakungoja! Chaaa JPM ni level nyingine hata saahii Marehemu mradi wa bomba unangoja delegation toka Tanzania!

Even Uhuru acknowledged today "mradi wa stima" na kasema kenya ipo tayari kununua stima ya Tanzania!!

Wewe Tony254 ni kapuku gani kukataa?
CC: Tony254
Wapi uhuru alisema Kenya ipo tayari kununua stima ya Tanzania?
 
Inajulikana ukiwa unajiamini watu wnakungoja! Chaaa JPM ni level nyingine hata saahii Marehemu mradi wa bomba unangoja delegation toka Tanzania!

Even Uhuru acknowledged today "mradi wa stima" na kasema kenya ipo tayari kununua stima ya Tanzania!!

Wewe Tony254 ni kapuku gani kukataa?
CC: Tony254
Mambo ya Tanzania au JPM kujiamini imetokea wapi sasa? Tripartite agreement haiwezi kutiwa saini ikiwa parties wote hawapo. Sio kwamba nyinyi mmejiamini kushinda Waganda au Total ni kwamba party moja akikosa kujitokeza basi agreement haitasainiwa. Hata Total akikosa kuja kwenye meza basi agreement haitasainiwa. Hata Uganda asipokuja matokeo ni yale yale. Na wala jambo hili la kuahirisha kutia saini haina uhusiano wowote na kujiamini kwenu au ushujaa wenu.
 
Mambo ya Tanzania au JPM kujiamini imetokea wapi sasa? Tripartite agreement haiwezi kutiwa saini ikiwa parties wote hawapo. Sio kwamba nyinyi mmejiamini kushinda Waganda au Total ni kwamba party moja akikosa kujitokeza basi agreement haitasainiwa. Hata Total akikosa kuja kwenye meza basi agreement haitasainiwa. Hata Uganda asipokuja matokeo ni yale yale. Na wala jambo hili la kuahirisha kutia saini haina uhusiano wowote na kujiamini kwenu au ushujaa wenu.
Uhuru alipiga trips nyingi za Paris na Kampala kujaribu kuwa-keep Waganda na Lamu option! Saahii jamaa is dead ila mradi unangoja mrithi amalize msiba aende kutia sahihi!

Kapiert? godamn Kenya!!

Tony254
 
Mambo ya Tanzania au JPM kujiamini imetokea wapi sasa? Tripartite agreement haiwezi kutiwa saini ikiwa parties wote hawapo. Sio kwamba nyinyi mmejiamini kushinda Waganda au Total ni kwamba party moja akikosa kujitokeza basi agreement haitasainiwa. Hata Total akikosa kuja kwenye meza basi agreement haitasainiwa. Hata Uganda asipokuja matokeo ni yale yale. Na wala jambo hili la kuahirisha kutia saini haina uhusiano wowote na kujiamini kwenu au ushujaa wenu.
Uhuru alipiga trips nyingi za Paris na Kampala kujaribu kuwa-keep Waganda na Lamu option! Saahii jamaa is dead ila mradi unangoja mrithi amalize msiba aende kutia sahihi
 
Uhuru wa kujieleza una mipaka na hakuna jambo ambalo halina mipaka hata ndoa inamipaka, wewe ulitaka uhuru gani wakujieleza wakat huo muda unashindwa kuutumia kufanya kazi na kuangalia maisha au unataka kua kama wale vijana wasiojielewa wa twitter yuko masaa 24 twitter kuongea upuuzi ukimuuliza kuhusu maisha hana mbele wala nyuma

Tanzania ni nchi yenye unemployment rate ndogo sana east africa hali ya kua ina watu wengi kuliko nchi za east africa, mbona hilo hulioni au pia unataka ufafanuzi

Mm nakupa ushauri mmoja fanya kazi muda wa madili ulishaisha hakuna madili tena usawa huu jitume kwenye kazi kwa bidii fungua akili yako hakuna maisha rahisi
Usitumie nguvu nyingi kushindana na Ng'ombe....hii ni ile mijitu ilikuwa inaishi kwa ndugu mafisadi na kufaidi makombo ya wizi wa fedha za uma...ndani ya miaka tano ya Chuma JPM wameishi km mashetani.
 
Back
Top Bottom