Uhuru wa kujieleza una mipaka na hakuna jambo ambalo halina mipaka hata ndoa inamipaka, wewe ulitaka uhuru gani wakujieleza wakat huo muda unashindwa kuutumia kufanya kazi na kuangalia maisha au unataka kua kama wale vijana wasiojielewa wa twitter yuko masaa 24 twitter kuongea upuuzi ukimuuliza kuhusu maisha hana mbele wala nyuma
Tanzania ni nchi yenye unemployment rate ndogo sana east africa hali ya kua ina watu wengi kuliko nchi za east africa, mbona hilo hulioni au pia unataka ufafanuzi

Mm nakupa ushauri mmoja fanya kazi muda wa madili ulishaisha hakuna madili tena usawa huu jitume kwenye kazi kwa bidii fungua akili yako hakuna maisha rahisi