ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Na ukienda congo utasemaje juu ya amani??Hama nchi,kwani kabla ya huyo Katili mzee wa propaganda nchi ilikuwa haiendi? Kulikuwa hakuna amani?
Nchi itaenda regardless of your feelings
Na ukienda congo utasemaje juu ya amani??Hama nchi,kwani kabla ya huyo Katili mzee wa propaganda nchi ilikuwa haiendi? Kulikuwa hakuna amani?
Nchi itaenda regardless of your feelings
Ww unafkiri kwa akili yako kwamba kitu gani kitabadilika ??? Hebu tuanzie hapoHakuna Rais mjinga wa kuongoza kwa kivuli cha predecessor,never and never.
Akupe madaraka afu uanze kuleta hadithi za sijui JPM utaenda kulima matikiti mapema Sana.
Hata huyo marehemu alifyekelea mbali wale wote waliokuwa Royal kwa watangulizi na kupanga safu za uongozi ndivyo huwa duniani kote.
Umesema vizuri waliopo sasa wahamishie pambio na royalty kwa mh.mama vinginevyo wakibaki na kiwingu cha marehemu imekula kwao na hawana cha kufanya
Zaidi ya kuboresha miundombinu, kujenga shule, Hospital, kuwapunguzia kodi wananchi, kusambaza umeme na maji, kuongeza uzalishaji wa chakula na kudhibiti mfumuko wa bei, ni nini utaita ni ustawi wa watu?Huyo ni aina ya watu wenye itikati za Magu na wanadhani kujenga madaraja na ma sgr na mindege useless ndio ustawi wa watu eti ana maono [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Unapoongea jaribu kufikiri, asa Unakuta mtu anasema anataka maendeleo ya watu sio ya vitu, asa watu wataendeleaje bila ya vitu?? Watu wapo tena wengi, we ukiwa na Familia kubwa tayari labda mpo 15 single house, utaanza utafanyaje??Huyo ni aina ya watu wenye itikati za Magu na wanadhani kujenga madaraja na ma sgr na mindege useless ndio ustawi wa watu eti ana maono [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Does this justify that korona is non existing?Mbona Toka uchaguzi mikusanyiko iko hivyo, kariakoo iko populated every single day, football stadiums and music concerts ziko parked as usual ever since
Nyie mnaotoka jukwaa la siasa bakini kwenye jukwaa lenu, humu tuko real hatuendekezi siasa, nyie mliojaliwa kubishana bishana kipumbavu bakini majukwaa yenu.Does this justify that korona is non existing?
Another idiot.
Wewe ni taahira hilo nimeshatambua.Kumbe mwanasiasa, sipotezi mda wng kubishana na wasenge dizain yako [emoji116][emoji116][emoji116]
![]()
GE2020 - Nimefanikiwa kushawishi ndugu zangu kumpigia kura Tundu Lissu
Salaam, Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu. Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani nikamweleza ameelewa na kuahidi atampigia kura. Nikarudi kwa mama mdogo wangu huyu yeye alikuwa na...www.jamiiforums.com
Nimefanikiwa kushawishi ndugu zangu kumpigia kura Tundu Lissu
We don't care tufe tuuu...Does this justify that korona is non existing?
Another idiot.
Hicho kimwanasiasa hicho wachana nacho.Sikieni matusi yenyewe tu ni ujinga tosha, tatizo ni kwamba wewe unaamini korona ipo na unaiogopa, sisi tunasema ipo lkn hatuiogopi maana kuiogopa ndio ugonjwa mkubwa, wakuogopwa ni Mungu ndugu, we tuache na imani yetu, lkn ulitakiwa tu kuona km sio Mungu basi tz nusu ya nchi tungesha kufa hata we ungeona post,, chaajabu hata wapinzani hawana picha hizo maana hazipo, ss shida nn?
Kanavyoongea sasa utasema kweli kanatimiza masharti ya covid [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni taahira hilo nimeshatambua.
Hujui kwamba kile kilikuwa kipindi cha kampeni umeishia kuconclude mimi mwanasiasa.
Go f..ck yourself