Sijamuona piai am the only one sijamuona bashiru (KMK) leo??
Unategemea kwamba atawaachia majizi na mafisadi na wapiga dili muchezee pesa za serekali hio kitu sahau maisha yako yote 😀😀😀😀Staili haiwezi kuwa sawa ko wewe umeamua kuchukua hicho kipengele tuu maana kimekufurahisha.
Wait mihemko ya msiba iishe saizi ulitaka asemaje sasa
Jambo kubwa kabisa ni freedom of expression,economic freedom na kuboresha mazingira ya watu kujiajiri.
Ni lini uliwahi kusikia graduate wa Tzn kwenye utawala huu anatamani kujiajiri badala ya kuajiriwa? Lakini kipindi cha JK watu waliacha Utumishi wa umma Ili wajiajiri maana mazingira yalikuwa rafiki na watu walikuwa na purchasing power.
Huyo bwana kawafukarisha Sana wanyonge hasa wanaotegemea kilimo kwa sera zake za uhasama na majirani.Kesi ya korisho,mahindi,mbaazi,ufuta nk nk
Huyo bwana aliharibu Sana mfumo wa ajira za mkataba, yaani kama wewe ni skilled personel ukiachishwa Kazi you won't get your pension hadi ufikishe 60 years sasa hii ni nini? Ukistaafu unakaa miaka sio 2 ndio upate pension kwa watumishi wa umma.
Hao wanaojiita wanyonge ni ngumu Sana kuwaelewa kwamba maisha yao yalikuwa mazuri kipindi hiki au furaha yao ni kuitwa wanyonge na kuwakomoa Matajiri?
Kauli ya nimesacrifice maisha kwa ajili ya wanyonge, technically iliwafariji but practically haikuwasaidia popote kwenye kuwatoa kwenye umaskini na kuwapa hali njema
Kwa hiyo hao wanyonge wanachokieleza zaidi ni kuruhusiwa kufanya biashara hovyo na popote na bila utaratibu, biashara zenyewe ndio hizo za umachinga za kula na kunywa na kununua vitambulisho sijui kama kuna kingine.
Mkataba huo hauwezi kuwa signed bila Tanzania kuwepo. Mkataba huo unaitwa Tripartite agreement kumaanisha kwamba ni agreement between three parties na mkataba hauwezi kutiwa saini ikiwa paty mmoja hayupo. Sherehe ya kutia saini imesongezwa mbelemy take:
M7 alikuwa anasaini leo mkataba so maybe serikali yao yote ilitakiwa iwepo huko, kama unakumbuka Magu nae alitakiwa aende huko Uganda siku ya leo. M7 naamin atakuwepo chato
Uhuru wa kujieleza una mipaka na hakuna jambo ambalo halina mipaka hata ndoa inamipaka, wewe ulitaka uhuru gani wakujieleza wakat huo muda unashindwa kuutumia kufanya kazi na kuangalia maisha au unataka kua kama wale vijana wasiojielewa wa twitter yuko masaa 24 twitter kuongea upuuzi ukimuuliza kuhusu maisha hana mbele wala nyumaJambo kubwa kabisa ni freedom of expression,economic freedom na kuboresha mazingira ya watu kujiajiri.
Ni lini uliwahi kusikia graduate wa Tzn kwenye utawala huu anatamani kujiajiri badala ya kuajiriwa? Lakini kipindi cha JK watu waliacha Utumishi wa umma Ili wajiajiri maana mazingira yalikuwa rafiki na watu walikuwa na purchasing power.
Huyo bwana kawafukarisha Sana wanyonge hasa wanaotegemea kilimo kwa sera zake za uhasama na majirani.Kesi ya korisho,mahindi,mbaazi,ufuta nk nk
Huyo bwana aliharibu Sana mfumo wa ajira za mkataba, yaani kama wewe ni skilled personel ukiachishwa Kazi you won't get your pension hadi ufikishe 60 years sasa hii ni nini? Ukistaafu unakaa miaka sio 2 ndio upate pension kwa watumishi wa umma.
Hao wanaojiita wanyonge ni ngumu Sana kuwaelewa kwamba maisha yao yalikuwa mazuri kipindi hiki au furaha yao ni kuitwa wanyonge na kuwakomoa Matajiri?
Kauli ya nimesacrifice maisha kwa ajili ya wanyonge, technically iliwafariji but practically haikuwasaidia popote kwenye kuwatoa kwenye umaskini na kuwapa hali njema
Kwa hiyo hao wanyonge wanachokieleza zaidi ni kuruhusiwa kufanya biashara hovyo na popote na bila utaratibu, biashara zenyewe ndio hizo za umachinga za kula na kunywa na kununua vitambulisho sijui kama kuna kingine.
Eti economic freedom wakupiga madili au😀 serekali ikiwabana munadai economic freedom na mukiibia serekali hapo hamuulizii economic freedomJambo kubwa kabisa ni freedom of expression,economic freedom na kuboresha mazingira ya watu kujiajiri.
Ni lini uliwahi kusikia graduate wa Tzn kwenye utawala huu anatamani kujiajiri badala ya kuajiriwa? Lakini kipindi cha JK watu waliacha Utumishi wa umma Ili wajiajiri maana mazingira yalikuwa rafiki na watu walikuwa na purchasing power.
Huyo bwana kawafukarisha Sana wanyonge hasa wanaotegemea kilimo kwa sera zake za uhasama na majirani.Kesi ya korisho,mahindi,mbaazi,ufuta nk nk
Huyo bwana aliharibu Sana mfumo wa ajira za mkataba, yaani kama wewe ni skilled personel ukiachishwa Kazi you won't get your pension hadi ufikishe 60 years sasa hii ni nini? Ukistaafu unakaa miaka sio 2 ndio upate pension kwa watumishi wa umma.
Hao wanaojiita wanyonge ni ngumu Sana kuwaelewa kwamba maisha yao yalikuwa mazuri kipindi hiki au furaha yao ni kuitwa wanyonge na kuwakomoa Matajiri?
Kauli ya nimesacrifice maisha kwa ajili ya wanyonge, technically iliwafariji but practically haikuwasaidia popote kwenye kuwatoa kwenye umaskini na kuwapa hali njema
Kwa hiyo hao wanyonge wanachokieleza zaidi ni kuruhusiwa kufanya biashara hovyo na popote na bila utaratibu, biashara zenyewe ndio hizo za umachinga za kula na kunywa na kununua vitambulisho sijui kama kuna kingine.
Maneno ya mpiga dili hayajifichi 🤣🤣🤣🤣Jambo kubwa kabisa ni freedom of expression,economic freedom na kuboresha mazingira ya watu kujiajiri.
Ni lini uliwahi kusikia graduate wa Tzn kwenye utawala huu anatamani kujiajiri badala ya kuajiriwa? Lakini kipindi cha JK watu waliacha Utumishi wa umma Ili wajiajiri maana mazingira yalikuwa rafiki na watu walikuwa na purchasing power.
Huyo bwana kawafukarisha Sana wanyonge hasa wanaotegemea kilimo kwa sera zake za uhasama na majirani.Kesi ya korisho,mahindi,mbaazi,ufuta nk nk
Huyo bwana aliharibu Sana mfumo wa ajira za mkataba, yaani kama wewe ni skilled personel ukiachishwa Kazi you won't get your pension hadi ufikishe 60 years sasa hii ni nini? Ukistaafu unakaa miaka sio 2 ndio upate pension kwa watumishi wa umma.
Hao wanaojiita wanyonge ni ngumu Sana kuwaelewa kwamba maisha yao yalikuwa mazuri kipindi hiki au furaha yao ni kuitwa wanyonge na kuwakomoa Matajiri?
Kauli ya nimesacrifice maisha kwa ajili ya wanyonge, technically iliwafariji but practically haikuwasaidia popote kwenye kuwatoa kwenye umaskini na kuwapa hali njema
Kwa hiyo hao wanyonge wanachokieleza zaidi ni kuruhusiwa kufanya biashara hovyo na popote na bila utaratibu, biashara zenyewe ndio hizo za umachinga za kula na kunywa na kununua vitambulisho sijui kama kuna kingine.
Ndio amesema hvyo na alienda mpka ubalozi wetumy take:
M7 alikuwa anasaini leo mkataba so maybe serikali yao yote ilitakiwa iwepo huko, kama unakumbuka Magu nae alitakiwa aende huko Uganda siku ya leo. M7 naamin atakuwepo chato
Inajulikana ukiwa unajiamini watu wanakungoja! Chaaa JPM ni level nyingine hata saahii Marehemu mradi wa bomba unangoja delegation toka Tanzania!Mkataba huo hauwezi kuwa signed bila Tanzania kuwepo. Mkataba huo unaitwa Tripartite agreement kumaanisha kwamba ni agreement between three parties na mkataba hauwezi kutiwa saini ikiwa paty mmoja hayupo. Sherehe ya kutia saini imesongezwa mbele
Cc Geza Ulole
my take:
M7 alikuwa anasaini leo mkataba so maybe serikali yao yote ilitakiwa iwepo huko, kama unakumbuka Magu nae alitakiwa aende huko Uganda siku ya leo. M7 naamin atakuwepo chato
Ila kwa hili siwezi kukuvumilia wew jamaa ni **** sana,sijawah kuona chiz kama wew humu ndani .. shame on youPole Sana taga mkuu wa humu unaeongozwa kwa mihemuko
Ni muhimu sana kujifunza siasa za dunia,deep state na utawala wa umma
Bila shaka umeelewa.R I P mr president
Aisee what a respect aloo.now this is one of the hugest respectsbeen shown for him. wherever he is, i hope he’s smiling. Rest In Power President!
View attachment 1732122