Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mficha maradhi humuumbua, huo msemo tayari umekutosha..
Mie silongi zaidi ya hapo
Kila kifo duniani kwa sasa ni corona na vifo vineanza kipindi cha corona inamaana waliokufa zamani ilikuaje ??? Akili zenu mumemuazima nani??? Ikiwa maradhi yote duniani yameanza wakat wa corona kabla je?? Au ndio ule msemo tumeumbwa kusahau
 
Na wewe jiongeze kidogo jamaa kungekuwa na impact ya corona tz sio laisi viongozi kurisk maisha yao hali ya hewa inatufavor kiasi fulani so usichukulie kama uko kwenu
Kwn kwao kuna tatizo gn? Au kuna hali ya hewa gn? Hakuna corona wala nn watu wanakufa kwasababu ya njaa, hyo corona ni politics tu cz Uhuru kachukua pesa za watu.
 
Back
Top Bottom