Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe mwanasiasa, sipotezi mda wng kubishana na wasenge dizain yako [emoji116][emoji116][emoji116]


Nimefanikiwa kushawishi ndugu zangu kumpigia kura Tundu Lissu
[emoji23][emoji23][emoji23] kachambuzi uchwalaa dah kuna watu akili wameshikiwaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hama nchi,kwani kabla ya huyo Katili mzee wa propaganda nchi ilikuwa haiendi? Kulikuwa hakuna amani?

Nchi itaenda regardless of your feelings
Ww huwa kalio linawasha sana sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chunga sana ww....jana mepata aibuu mnooo kamwambien yule shoga mwenzenu hii nchi Magu alipendwa anapendwa na ataendelea kukumbukwa kama shujaa wa Taifa....ukiona mambo magum jinyonge tuu
20210321_161549.jpg
20210321_162659.jpg
 
Hakuna Rais mjinga wa kuongoza kwa kivuli cha predecessor,never and never.

Akupe madaraka afu uanze kuleta hadithi za sijui JPM utaenda kulima matikiti mapema Sana.

Hata huyo marehemu alifyekelea mbali wale wote waliokuwa Royal kwa watangulizi na kupanga safu za uongozi ndivyo huwa duniani kote.

Umesema vizuri waliopo sasa wahamishie pambio na royalty kwa mh.mama vinginevyo wakibaki na kiwingu cha marehemu imekula kwao na hawana cha kufanya
Hahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona kama pepo la magu linakua kimya kimyaaa kuwa mpole we kalio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ni taahira hilo nimeshatambua.
Hujui kwamba kile kilikuwa kipindi cha kampeni umeishia kuconclude mimi mwanasiasa.
Go f..ck yourself
We kalio emotion zako pelekea bibi yako...[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jing ni kichw tu ndio kikubww
 
Unless isiwe official media from kenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Official media ndio nn?tujuze mzee baba
 
sasa kama za ndani zinakosa viwango sio? Ina maana Kenya nzima miaka zaidi ya 58 haina competent companies? Rushwa inawamaliza muonage aibu ku-post utopolo kama huu! Hivi hamuoni kampuni kama Mohammed builders, Mayanga construction na Estim na nyingine nyingi za kizalendao zinafanya kazi nzuri Tanzania!
Hebu leta evidence ya hayo makampuni yakipewa tender na yakifanya ujenzi wa barabara, sio kuropokwa ropokwa tu.
 
Marais wa SADC naona wametinga, Rais wa Kenya sidhani kama atakuja.
 
Sisi pia tulikuwa na local companies zilizokuwa zinajenga barabara lakini zilikuwa slow sana. Zingechukua hata miaka mitano kujenga barabara. Wachina wanachukua miaka miwili tu na wanakupa kitu kisafi. So mimi nafurahi kuona high quality of barabara in Nairobi siku hizi. Ni mwendo wa interchange kila kona na soon ni mwendo wa barabara ya juu kwa juu. Local companies huwa zipo slow na ndio maana barabara ya kibaha imechelewa.
 
Back
Top Bottom