Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehehehe huyu Cyril Ramaphosa ametaja nchi zilizoisaidia SA kupata uhuru kataja zote ila Kenya haipo alafu kamalizia na baba lao Tz. Dah Uhuru kama namuona alivyojisikia aibu
Nyie ndio mnaweweseka, alafu vitu vingine vinatakaiwa uwe unafikiria kabla ya kuongea..
Sasa na yeye akisema kati ya wale wote waliofika hapo hakuna aliyetusaidia kupigania uhuru atakua kakosea..

Huaga mnatulaumu bure lkn ukweli hatukusaidiwa na yyte yule katika swala lote la kupigania uhuru wetu..
Najua kuna mtu atakuja kujibu pumba, km hujaelewa usijibu tafadhali
 
Wabongo bwana
umbea_daily-post-2021_03_22_13_19.jpg
 
Hyo vaccine atadungwa mzee baba hata kw kisiri siri, manake kilichomua jiwe kati ya wale wachache wanaoujua ukweli yeye pia yumo..

Sisi wengine ni wanenguaji plus wapinzani, yani tutavutana mpaka kiama lkn hatutokuja kuujua ukweli kw kina..
Wengine watakuja piga kelele hapa, lkn km itakua hujaelewa usijibu tafadhali..
Kwa vile kifo kimeanza jana watu walikua hawafi ndio mzungu kawaaminisha kua kila anaekufa sasa ni corona hakuna kifo bila corona 😀😀😀😀 kazi munayo nyinyi
 
Kwa vile kifo kimeanza jana watu walikua hawafi ndio mzungu kawaaminisha kua kila anaekufa sasa ni corona hakuna kifo bila corona kazi munayo nyinyi
Mficha maradhi humuumbua, huo msemo tayari umekutosha..
Mie silongi zaidi ya hapo
 
Anamvuta mama samia kupitia mgongo wa imani yake.
Chezea nyangau wewe
Hapo sisi kati ya wale ndugu watundu katika familia..
Tunaweka mambo sawa tu wakati tukiona panahitajika lkn siku zingine lazima tulete ujanja ujanja kw wenzetu ndio tuishi
 
Back
Top Bottom