Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,757
Leo nmemuona kule Dodoma akitembea kwa kujiamini kabisa, kavimba sn leo, safi sana.Mama wanampa na mpini kabisa Mwenyekiti wa CCM Taifa.. wanamuamini Sana au ndo kuonyesha democracy imekomaa kwenye Chama?
Nahisi kuna kitu jpm alimwambia huyu mama kabla hajafaLeo nmemuona kule Dodoma akitembea kwa kujiamini kabisa, kavimba sn leo, safi sana.
Tundu lissu yuko wapi aone hii! ?
Huwa hawakosi la kusema haoTundu lissu yuko wapi aone hii! ?
Wamelogwa kweli. Sioni na KTN, CITIZEN, BBC, CNN akikava hii story. Wanafiki watupu.Huwa hawakosi la kusema hao
Watasema hao watu wamenunuliwa, wamepelekwa na maroli
Sijui Nani kawaloga wale
Saivi wanakwambia ni kawaida kiongozi akifa madarakani, hawa watu ushetani walioubeba kichwani mwao hata Lucifer anaogopa.Huwa hawakosi la kusema hao
Watasema hao watu wamenunuliwa, wamepelekwa na maroli
Sijui Nani kawaloga wale
Angalia uone saizi Dodoma ni atari atari mkuu.Huwa hawakosi la kusema hao
Watasema hao watu wamenunuliwa, wamepelekwa na maroli
Sijui Nani kawaloga wale
Huwa hawakosi la kusema hao
Watasema hao watu wamenunuliwa, wamepelekwa na maroli
Sijui Nani kawaloga wale
Magu alikua na personal hate towards kenya hio si kitu cha kupingana, kile hakujua ni kwamba kenya and tanzania is bigger than him.
it is called greenpark just like greenfield terminal! naskia tayari Uhuru innercircle member kanyakua ardhi kujenga nyama choma joint!as usual.. utra modern
Magu alikua na personal hate towards kenya hio si kitu cha kupingana, kile hakujua ni kwamba kenya and tanzania is bigger than him.
Kutoka kwa wazee wa viwango!L
Majizi ya Kenya lazima yawaaminishe wakunya kwamba hiyo ni ultra "?#@*" ili wapige hela yao kwa amani kabisa . Halafu sasa hawa nyumbu wa Kenya wakija huku kwetu wanajiona wajinga wa kiwango matatuu!