Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mama samia atapiga kazi kama jpm otherwise 2025+ ataiangalizia kwenye microscope anajua wabongo tumezoea mtindo wa jpm akifata kina JK itakula kwake watanzania walioko Twitter na walioko uraian ni tofauti mfano mzuri ni mihadhara na msiba wa jpm unaleta picha kamili wa twitter walimzonga sana jpm ila wa uraiani wapo nae pamoja, na pili mama samia amepata nafasi anajukumu la kutengeneza uaminifu kwa watanzania kuwa aminisha mwanamke anaweza kwani kwenda kama kina JK wanavyotaka ni kama kusaliti nchi tumeisha ikubali na kuipenda njia ya JPM
 
IMG_0076.jpg
 
Ila mnajua mkate wa Majaliwa utategemea how loyal is he to Samia and based on how closed they work last 5 years no one can be sure! Watu mnaongea kama Majaliwa is assured of that seat! The next 1 year tutaona mengi kwa vile hulka ya binadamu hupenda kuwa na wasaidizi aliochagua mwenyewe ambao ni 100% loyal! Ukiacha Uwaziri Mkuu kuna sehemu nyeti kama Mkuu wa Majeshi na Waziri wa Ulinzi! Sishangai akiwabadili!
Mama wanampa na mpini kabisa Mwenyekiti wa CCM Taifa.. wanamuamini Sana au ndo kuonyesha democracy imekomaa kwenye Chama?
 
Mama wanampa na mpini kabisa Mwenyekiti wa CCM Taifa.. wanamuamini Sana au ndo kuonyesha democracy imekomaa kwenye Chama?
Katiba ya chama cha Mapinduzi inasema hivyo Rais wa nchi ni lazma awe mwenyekiti wa chama pia!
 
Back
Top Bottom