Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,757
angalia resurfacing ya hiyo tar! IRMAO kampuni ya ujenzi yenye ma-engineer wametumika!! 🙆♂️as usual.. utra modern
angalia resurfacing ya hiyo tar! IRMAO kampuni ya ujenzi yenye ma-engineer wametumika!! 🙆♂️as usual.. utra modern
Mm hata mitandao nmetokea kuichukia, kila sehemu habari ni hyo hyo, yn nakuwa mpweke kweli kweli aisee.Dah !!! Kuna mda kuwasha tv unaona kazi. Bora wampuzishe it's very sad . Naona tabu hata kuangalia tv. Apumzike kwa amani chuma. Magufuli kawaasha sana wakenya walikua wanafanya project za kihuni wanaita Chinese class one , mara superhighway yaani magu ni kama wake up call kwa nyang'au. Kawaamsha sana


😔😔😔😔😔"...mimi nataka wananchi hasa wanyonge wafaidike na matunda ya nchi yao Tanzania.... lakini sio kila mahali mtu anapokwenda ni kufukuziwa tu lakini saa nyingine chakula wanakila wao, sasa hatuwezi kwenda kwa mtindo huo..... Tanzania ni tajiri, Tanzania ina kila kitu tukisimama kwa pamoja tukamtanguliza Mungu mbele tutashinda."

.. huku kenya “wanajenga wenyewe”..(sina uhakika ila ufisadi lazima uwepo)Marehemu JPM alijenga fence ya matofali na kuweka cctv camera system ya urefu kama huu kwa miezi mitatu! jamaa wa senyenge mwaka wa sita huu hola!!Trump alikuwa anasema mexico ndo itagharamia ule ukuta wao.. huku kenya “wanajenga wenyewe”..(sina uhakika ila ufisadi lazima uwepo)
Kwahyo mkuu unataka madhara ya korona uone ndani ya siku moja?Hii corona inayopigiwa debe kila kukicha hii cjui maana yake nini, mbn leo raia tumejimwaga km wote na kuna mda kulikuwa na vurugu za kufa mtu na 90% hatukuwa na barakoa wala nn na hakuna lolote, km ipo sawa lkn haina nguvu hiyo ya kushtusha amini kwamba.
Lkn kingine nilichofurahi nmemuona Magu leo japo nilijikaza sn but nilipokumbuka speech yake bora kabisa aliyoitoa 2015 pale bungeni Dodoma (Mana ni speech ambayo naijua na nmeimeza sn cz since 2015 nmekuwa naisikiliza mpk kesho) kwa kweli nililia kwa uchungu sn.
so sad. hizi picha zimenitoa machozi aisee
Wacheni upumbavu, hyo tulishakubali kuishi nayo km kweli ina madhara hayo mnayoyanadi mitandaoni, watu wamekuwa wakihudhuria mechi hapo kwa Mkapa na kawaida tu au nayo hamuoni?Kwahyo mkuu unataka madhara ya korona uone ndani ya siku moja?
Umenishangaza sana