xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,301
- 5,379
mkuu wa itifakihuyo mjeshi picha ya pili ni katibu mkuu wizara ya nje.. hapo anatokea kama nan? hata wakat mama anaingia ikulu huyo jamaa alitanguliza msafara.. sasa sijui anasimama kama nan??
mkuu wa itifakihuyo mjeshi picha ya pili ni katibu mkuu wizara ya nje.. hapo anatokea kama nan? hata wakat mama anaingia ikulu huyo jamaa alitanguliza msafara.. sasa sijui anasimama kama nan??
Bwana mapesa umerudi tenaIgnorance kills. The grandson of Kinjeketile Ngwale is no more because.




Bwana Mapesa naona unatumia msiba wa Magu kurudi kundini, karibu sana Bwana mapesaIgnorance kills. The grandson of Kinjeketile Ngwale is no more because.







Sikumbukagi wafu unless awe my dadIt seems magu alikufanyia kitu mbaya sana,pole sana,mzee magu hutomsahau..it is your choice to hate
Huu ndio ukweli achana na hao mataga yaliyokuwa yanafaidika na ukandamizaji na wiziUkimfuatilia utagundua kama kuna kitu anachofanya behind the curtain, yaani Mimi namuona kama si mtu mzuri saaana
atamkumbuka mama ako, asa we unataka kumkumbuka kwan na wewe ulikua unambon'golea ka maza ako?Sikumbukagi wafu unless awe my dad
Wewe unaweza kumbuka jitu katili kama yeye?
Ajiamlie kwani yeye ni Jiwe? Genge la chato lote litafyekwa na ataweka system yake na washauri wakeEndelea kujipa matumaini hewa. There is an operating system behind mama Samia. Hivyo usidhani atakuwa anajiamlia anavyotaka tu. By the way kama upo upinzni ni bora umshauri Tundu arudi ili apate mapokezi anayostahili.
Katika Marais ninao waheshimu ni JK Nyerere na JK Kikwete lakini wale marehemu waliobakia nitawakumbuka kwa ukatili na kufukarisha watu nothing elseKatika marais wastaafu ninao waheshimu ni watatu tu, Nyerere (RIP), Mzee Mwinyi na Mkapa (RIP). Kikwete ni mnafiki na ana roho mbaya sana japo huwa anajichekesha chekesha lakini ana roho ya kwanini kwelikweli na hana msimamo! Kwangu binafsi hajawahi na hatawahi kuwa mojwawpo ya marais bora hapa Tanzania!
President Kikwete ni kitengo sio kama hao wa kuja ,na wewe jinunishe na kulia Lia ufurahishe upande ulikoAna kicheko cha kinafiki,siku ile ya mazishi ya mkapa,wenzake akina mwinyi wanahuzunika ye anachekacheka tu
Unatapatapa yeye ni deep system wewe ni muimba pambio,kunywa maji usije mfuata kiongozi wa malaikaHuyu Kikwete hana la maana sana zaidi ya kutaka Ridhwan na Mama Salma wafikiriwe unaibu waziri kwenye serikali anayoingoza mama Samia. Amebakia kuwa opportunist tu kama ilivyo ID ya fala mmoja kwenye huu uzi .But this won't be that easy !
Sasa Mataga watasurvive aje bila malipo ya buku.. Tougher times ahead,,,Katika Marais ninao waheshimu ni JK Nyerere na JK Kikwete lakini wale marehemu waliobakia nitawakumbuka kwa ukatili na kufukarisha watu nothing else
Ignorance kills. The grandson of Kinjeketile Ngwale is no more because.



we jamaa bwanaMkuu utaishia hivyo hivyoWe tahira kaa mbali na ubongo wako![]()
You are too low to argue with me. Pimbi we! Period.Ajiamlie kwani yeye ni Jiwe? Genge la chato lote litafyekwa na ataweka system yake na washauri wake
Wewe kwa akili yako finyu unadhani mama atakuwa kama the late Jiwe? Hata hotuba leo hujaona tuu tofauti?
Si mlikuwa mnaota ndoto mara ooh baada ya Magu sijui atakuja kenge gani,mzee imetoka hiyo hadi 2030 tafuteni Kazi nyingine za kufanya
Wazee wa corona waje watie neno hapa



Tafuta kazi ya kufanya,mama hahitaji mapambio yenu ya kinafiki,mpenda mapambio is no more aliveYou are too low to argue with me. Pimbi we! Period.

.. wana mambo yanayowahasibu ila wanachagua kufatilia yetu..