MICHAEL JACKSONN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 226
- 229
labda anatafuta bwana humh huwezi juaAkilia mafiii alafu unajita opportunity cost![]()



labda anatafuta bwana humh huwezi juaAkilia mafiii alafu unajita opportunity cost![]()



yaani mama akijichanganya tu.miaka minee hii itakuwa kama karne kwake.uongozi wa Magufuli ulitegemea sana wanataaluma (kutoka vyuoni, wizaran, idara za serikali) na uongozi wa Kikwete ulitegemea sana Vigogo/wanasiasa (kupeana uongozi sababu mzee alikuwa kiongozi, waziri au mbunge).. ngoja tuone Mama Samia ataenda kwa njia ipi
Hvi twitter mnawaona wanavyoandika utumbo yani ata hawajishtukizii daahyaani jana asubuhi nimepita eneo nikakuta mama ntilie wanasikikiza redio.wengi hawakupata taarifa usiku ule wa juzi.
wanaongea kuhudumia kwa unyonge sana.
kwakweli roho iliniuma,mpaka nikaanza kumlaumu Mungu tena.
aaaah.
hatuwezi kulazimisha watu waandike kitu gani.Hvi twitter mnawaona wanavyoandika utumbo yani ata hawajishtukizii daah
Read to be sworn in!
Sasa kama watz wenyeww wanaropoka hivyo itakuaaje mashirika kama cnn na BBC uko daah yani upinzani tz hamna chochotehatuwezi kulazimisha watu waandike kitu gani.
ila muda ni mwalimu mzuri sana.
aah this is soo wrong. hua naona wanakama kadharau flani ivi cjui kwaniniHalafu unajua January Makamba na Kikwete hawajatoa pole ya kupotelewa na JPM!
Unataka kuketa chuki sasa..Halafu unajua January Makamba na Kikwete hawajatoa pole ya kupotelewa na JPM!
Unadhani hata nikikukoti utanifanya nini labda,kaugulie mbele hukoI don't engage you, so please, don't you ever quote me, ever!
Iwe closely au apart wewe jua kwamba hii ni new personality anaenda kufyeka genge la Chato na kamwe hataongoza kwa kivuli cha marehemuMama Samia has worked closely with the late JPM than Kikwete. She now knows and understand what Tanzanians need and are up to. What is so impressing is that JPM through his leadership has set standards for new top government leaders. I don't think that Samia's government will completely divert from the standards she has learnt from the late JPM. After all, the weaker the CCM goverment leadership the stronger opposition takes shape. And I am pretty sure that CCM won't allow this to happen so easily coz they have learned a lesson from Kikwete's weaker leadership!
Mama wasimpe uenyekiti wa ccm taifa.. wasubiri Kwanza mpaka 2023Ni kweli but lile kundi hslitaoewa nafasi kwa sababu mama Samia anajua kila kitu juu yao na pia serikali tayari ipo.
Wazee wakiona mana Samia anataka kufanya mabadiliko makubwa sana ni lazima watamuita na kuuliza kulikoni.
Sie tulijua mapema Sana wakati marehemu anamtuma tuma kuwakilisha wala hata hakuwa anajua kwamba system is working to prepare her for the presidencyKichwa kubwaaa akili sasa![]()
Tumpe muda kidogo mama afu ndo tumjajiNatabiri yafuatayo;
1.Upigaji wa madini hasa kule mererani
2.Kurudi kwa cartels za ccm,madawa ya kulevya,ufisadi Kama wa Escrow nk.
3.Tanzania kurudi kuwa Shamba la bibi.
4.Mikataba ya ufisadi.
5.Siri za serikali kuvuja.
6.Ya kibiti kujirudi.
7.Lissu kusumbua.
8.wananchi wa chini kutosikilizwa na viongozi.
9.Uzembe kujirudia kwa watumishi
10.Viongozi waliokuwa chini wa JPM kuandamwa.
Wewe mwenye facts endelea nazo kwani nimekuombaHuna hata fact zaidi ya siasa uchwara ulizo lishwa vijiwenina hutokaa upate nafuu maisha