Hizi habari nimezipata saa 8 usiku lakini naona kama ni miaka miwili nyuma na bado nina siku nyingi mbele mpaka azikweVery true, mzee wetu angepumzishwa tu mapema watu machungu yapungue.
Oooh sijui niandike kwa namba gani ambavyo nimejawa na huzuniHizi habari nimezipata saa 8 usiku lakini naona kama ni miaka miwili nyuma na bado nina siku nyingi mbele mpaka azikwe
Naona kama Dunia imeganda, how am going to survive in this total darkness ahead of me![]()

,machungu
hakika huu msiba umenichoma penyewe,sijawahi huzunishwa kwa kiwango hiki kwa msiba wa kitaifa.Umeongea vizuri broPole sana bro! He was a true pan Africanist, ni juzi tu nilikua nikiwaza nakusema Mungu hawezi muacha Magufuli because he boldly glorified Him before the whole world, aliposema yeye ana mwamini Mungu kulinda Tanzania kutokana na janga la corona, hapa nilikubaliana na yeye, na kwa hili jambo bro, ata kama ameaga, Tz iko mahali poa. Ukimsifu Mungu hadharani, na yeye hatakuaibisha. Tz is safe, take it from me. The gentleman honoured God before the whole world, wengine wakamkejeli. Kwa hili mimi namkubali. Tanzania itaishi chini ya baraka za binguni.
KTN is private media, tuliza hasira.Unafiki huja kwa rangi nyingi! Huku KTN media ikimsakama for the whole night!
Tofautisha kati ya media za Kenya na serikali ya Kenya.Unafiki huja kwa rangi nyingi! Huku KTN media ikimsakama for the whole night!
Magu alikua na matatizo ya moyo muda tu na ndio sababu ya kifo chake,kama utakumbuka kipindi cha kampeni kwenye gari aliyokua anatembelea na hata kwenye mikutano kulikua na ventilation karibu yake,hawa pumbavu kunyan wanaodai alifia kwao kwa corona ni wa kupuuzwaNaamini kila kitu usemacho mkuu japo inauma 😭😭😭😭😭
Nakumbuka wewe ulipinga kwamba Magu hajapelekwa Nairobi bali yupo Mzena kwa matatizo ya moyo
Nilipoona patriotic kama wewe ambae hujawahi kusema baya lolote kumuhusu Magufuli umekiri Magufuli yupo Mzena ndipo nilipoanza kupoteza nguvu 😭😭😭😭😭
Hawajiulizi tiss wampeleke Magu Kenya kwa "matibabu' ya corona kwani Kenya kuna matibabu ya corona?Magu alikua na matatizo ya moyo muda tu na ndio sababu ya kifo chake,kama utakumbuka kipindi cha kampeni kwenye gari aliyokua anatembelea na hata kwenye mikutano kulikua na ventilation karibu yake,hawa pumbavu kunyan wanaodai alifia kwao kwa corona ni wa kupuuzwa