Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imeshatoka hiyo,bora hata wangemuweka wazi ili watu wamuombee heri,mficha maradhi.

Maccm na genge lao nayachukia yanateka nyara kiongozi wa umma as if hana watu
 
Magufuli ameonesha njia jinsi gani viongozi wa Afrika wanapaswa wawe naamini huko alipo Mwenyezi Mungu amemuweka panapo stahili japo ana makosa km binadamu lkn naamini alikuwa na mapenzi makubwa dhidi ya wananchi, wiki yote hii nmekuwa naumia moyo wangu ulikuwa unauma sana nilishahisi kuna kitu kibaya kinatuzunguka Watz.

Asante Magufuli, asante Mungu kwa haya yote kwani wewe hukosei na hujawahi kukosea, nimelia lkn hii haiondoi ukweli kwamba Magufuli hatupo naye tena, asante baba kwa zawadi hii uliyotupa na asante pia kwa kila ulilolifanya kwa nchi yetu.

Watanzania naomba tuungane na tujikaze katika kipindi hiki kigumu tusitetereke mana katika kila gumu kuna njia, hakika tusijibishane na mtu yeyote zaidi tu tuseme asante.

Asante Magufuli, Mungu akuweke baba, wewe ni zaidi ya mwamba, miaka yako sita uliyoongoza imetosha kujipambanua kwamba uliletwa duniani kupigania haki, asante sana baba.

Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi Amina.
Naiman hii foundation aliyoijenga itaendelezwa milele
 
Naomba leo tuweke debates na battle kando kwa heshima ya kiongozi wa Tanzania, Mh. Dr. John Pombe Magufuli, a true pan African. Let us just reflect on his life for once, we live to debate, quarrel and fight another day.
My sincere condolences.
 
Magufuli ameonesha njia jinsi gani viongozi wa Afrika wanapaswa wawe naamini huko alipo Mwenyezi Mungu amemuweka panapo stahili japo ana makosa km binadamu lkn naamini alikuwa na mapenzi makubwa dhidi ya wananchi, wiki yote hii nmekuwa naumia moyo wangu ulikuwa unauma sana nilishahisi kuna kitu kibaya kinatuzunguka Watz.

Asante Magufuli, asante Mungu kwa haya yote kwani wewe hukosei na hujawahi kukosea, nimelia lkn hii haiondoi ukweli kwamba Magufuli hatupo naye tena, asante baba kwa zawadi hii uliyotupa na asante pia kwa kila ulilolifanya kwa nchi yetu.

Watanzania naomba tuungane na tujikaze katika kipindi hiki kigumu tusitetereke mana katika kila gumu kuna njia, hakika tusijibishane na mtu yeyote zaidi tu tuseme asante.

Asante Magufuli, Mungu akuweke baba, wewe ni zaidi ya mwamba, miaka yako sita uliyoongoza imetosha kujipambanua kwamba uliletwa duniani kupigania haki, asante sana baba.

Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi Amina.
kaka wala usisonone bali uwe na moyo mkuu. Magu atabaki kua my iconic president.. Tanzania hatutarudi nyuma.. naamini mama samia pia atakua na jicho na upeo wa mzee magu hili nakuhakikishia kaka.
 
Back
Top Bottom