Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi nilivurugika jpili na j3 baada ya kutoonekana kanisani nikahisi kuna jambo, Nashukuru Mungu alinipa ujasiri wa kuwa tayari kwa lolote.
Moyo unaniuma mm jamaniiii, siwezi kulala kabisa wacha nikeshe tu nimeumia sana sana japo naamini kifo ni haki yetu sisi wanadamu lakini why Magufuli why??
Kuna mtu kanichukia kwakuwa sijapokea wala kujibu msg zake karibu wiki sasa, kwasababu nilikuwa najiandaa kisaikolojia, sikujuwa ntalichukuliaje hili suala likithibitishwa, hasa baada ya kuona Rais wa SMZ akiahirisha shughuli za kiserikali. Kila nikiona wadau wakiweka miradi yake, kwa kweli nilizidi kuumia nikijuwa, wanamuemzi.
 
Rest in Peace Magufuli!!! Probably one of the best presidents East Africa has ever had. Despite his shortcomings, the guy was a real patriot. He put his country first and did the best to his abilities for his people. What a tragic loss 😱 😱 😱 😱 .
 
na alitakiwa azikwe moja kwa moja Tanga, lkn magu akasema wamlete Dar na yeye amuage
Kifo cha rafiki yake kilimuumiza sana, japokuwa alijikaza.
hapo kati hali haikuwa nzuri.. niliwahi kusema huku kuwa yupo Dar.. wengine wakataka evidence 🤦🏽‍♂️.. na ni kweli umauti kamili umemkuta jana jion saa 12
Kulikuwa na upotoshaji mwingi ila kulikuwa na viashiria kuwa mambo siyo mazuri, mfano Musiba hakuwahi kusema chochote kwenye channeli yake kwa siku sita.
 
Moyo unaniuma mm jamaniiii, siwezi kulala kabisa wacha nikeshe tu nimeumia sana sana japo naamini kifo ni haki yetu sisi wanadamu lakini why Magufuli why??

My condolences to all my Tanzanian brothers, sisters and friends.

I am shocked and deeply saddened by his death. I was his ardent supporter and battle out throughout his presidency as "@KipepeComrade"

They were all out to kill him, and through Chief Secretary Kijazi, the got him.

Another sad state of affair is, how Africans jubilating this and aiding our enemies in disseminating propaganda against ourselves.
 
na alitakiwa azikwe moja kwa moja Tanga, lkn magu akasema wamlete Dar na yeye amuage
Naamini kila kitu usemacho mkuu japo inauma 😭😭😭😭😭

Nakumbuka wewe ulipinga kwamba Magu hajapelekwa Nairobi bali yupo Mzena kwa matatizo ya moyo

Nilipoona patriotic kama wewe ambae hujawahi kusema baya lolote kumuhusu Magufuli umekiri Magufuli yupo Mzena ndipo nilipoanza kupoteza nguvu 😭😭😭😭😭
 
Mipaka haichorwi kama unachora ramani kwenye ubao na chaki.

Wakenya mpo empty sana kwenye mambo ya kimataifa.
1. Soma mikataba iliyosainiwa kati ya Tanzania na Kenya kuhusu mipaka.

2. Tanzania ilitoa grace period kwa Mwenye malalamiko mwaka 1961 had I 1964.

3. Muulize Nduli Idd Amin Dadaa alipojaribu kuingia kwenye mipaka ya Tanzania.

4. Muulize Kamuzu Banda na Joyce Banda wa Malawi.

Nyie pigeni kelele tu kwenye mitandao but nyie ni wachumba tu.
Hatuheshimu mikataba za ujinga kama hizo. Tutaondoka from those useless mikatabas and go to court. Kwani unadhani nyinyi ni nani?
 
Poleni sana Watanzania wote kwa msiba uliowapata. Poleni sana ndugu zetu. Nimehuzunika sana kusikia habari hii. Rais wenu alikuwa shujaa kweli. Lazima atakumbukwa na historia kama mmoja wa marais bora kabisa hapa Africa. Tanzania has a bright future kwa sababu yake. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
 
Back
Top Bottom