Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nikweli katika uongozi kuna levels... mtu kama raisi wa nchi ni vyema awe na kisomi coz ana deal na mataifa mbali mbali na ata mawaziri coz ndo ma strategizer wa nchi lakn wabunge it's not all dat... wabunge kazi yao nikuwasilisha malalamiko ya wananchi wao bungeni yafanyiwe kazi..na ndo maana wana exist na wapo wanao fanya great things...
Kaka bunge lina kazi nyingi sana(unaweza kuchungulia katiba) na ndio muhimili muhimu kulikomihimili yote. Moja kati ya kazi za bunge ni kuishauri serikali na kutafuta njia za kutatua matatizo ya wananchi sio tu kuleta matatizo ya wananchi. Mbunge pia anaweza kupeleka mswada bungeni na kupitishwa kuwa sheria.

Sasa niambie mbunge wa darasa la saba ana uwezo wa kuandaa muswada au kuishauri serkali kwenye mambo makubwa mfano, migogoro ya kidiplomasia na majirani zetu au hata uchumi wetu kwa ukubwa. Hivi huwa mnajipa muda kuangalia mabunge ya wenzetu walioendelea wabunge wao wanavyohoji, chukulia mfano, uingereza na brexit.
 
Excuse me Mr. Knowledgeable, can you tell us a little bit of how your BRT will be operating on the express way?
If you have common sense, make sense of this.

1.PNG
2.PNG
3.PNG
 
Hehehe mkuu unasema kazi ya wabunge ni nn? Labda responsibilities za bunge zimeshabadilishwa na sina habari, wabunge ndio wanaotunga sheria za nchi na kuishauri serikali yn kwa kifupi bunge ndiyo mpango mzima.
Wabunge kuwakilisha wanachi wao ni part ya jukumu lao pia... n yah niwatungaji sheria lakn kua muwazi ivi kweli una hitaji degree kutunga sheria? Na si ongelei Tz tu just in general sheria zilipo duniani zinazo usu binadamu unathani kua na degrees ndo ime kua kigezo ya hizo sheria kutungwa? I urge you to think again...
 
Back
Top Bottom