Huyo kinachomsumbua ni inferiority complex, na ndiyo maana sheria za nchi hii inabd zifanyiwe some adjustments cz huwezi kuwa kiongozi unaenda kupigania haki za wananchi wkt ww mwenyewe haki zako huzijui matokeo yake jamaa usiku kucha ni kuponda elimu na kusifia darasa la saba kisa yeye ni darasa la saba lkn ni mbunge, anashindwa kuelewa kwamba kukosa kwake elimu sio kosa la elimu.
Anatumia kukosa kwake elimu km excuse ya kuendelea kumweka bungeni, ifike mahali hawa wapuuzi wasiwe na mandate ya kuingia bungeni, wasomi wengi nchi hii inakuwaje ngumbaru km huyu aongoze watu na elimu zao?