President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Umesoma na kuelewa nilichoandika!?Mkuu hapa naomba twende kwenye reality, ukweli ni kwamba kule bungeni wanaenda watu wanaotusaidia kutunga sheria ss km hao wanaoenda kutunga sheria na hawana confidence ya kusimama na kuongea vitu sensitive ni wa nn ss? Mana it's proven kwmb wabunge ambao ni darasa la saba wengi huwa hawaongei na hata wakipata nafasi ya kuongea huwa tunaziona pumba za kina babu Tale na Msukuma may be uniambie hapa ni mbunge gn darasa la saba wa kizazi hiki amewahi kuongea point.
Na hii yote ni kutokana na ukweli kwamba wana loose confidence kutokana na ufinyu wa elimu walionao, lkn pia ni ukweli ulio wazi haya mambo ya uongozi yanahitaji darasa ila km tutataka kuendeleza siasa hapo sawa, au basi km hyo point yako ya kukwepa classes kwenye jamii basi iwe applicable pia ktk kuchagua Rais, mbn Rais hatujawahi kuchagua ngumbaru? Au Urais unahitaji profession? Profession gn? Na km urais hauko selective ktk profession mbn hatuwapi hawa ngumbaru nafasi ya kuwa maraisi?
Hiyo ndiyo reality.
Watu wanamchagua mtu ambaye atawasemea shida zao. Halafu tunapoongelea demokrasia ni kuacha ubaguzi ambao hauana mantiki.
Baadae utaanza kuwabagua walemavu eti wasiweze kuchaguliwa kwa sababu ya ulemavu wao.
Kwa mawazo yako hayo huwezi ukawa kiongozi. Siasa ni jambo pana mno.
Hebu nikuulize jambo kati yako na Msukuma ni nani aliyeelimika!? Msukuma anajua issue za madini, yupo na mabasi. Kabla hata ya kuwa mbunge alikuwa anamilk Helkopita.
Kishimba mbunge wa kahama mjini ameishia darasa la saba. Anamilk viwanda, Dar free Market ni yake, Imalaseko Super market ni yake.
Wapo wabunge wengi tu weishia darasa la saba lakini wamefanya mabadiliko makubwa tu.
Laizer wa Melerani anamilk mgodi wa Tanzanite.
Usimdharau mtu.