Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alaf yalivo mafala wako busy na magufuli wakat wanajamba cheche

Afadhali sisi hatufichi chochote kuhusu huu ugunjwa wala hatudanganyi wananchi kuhusu uwepo wake. Ona sasa mlivyoumbuka baada ya kukana uwepo wa kirusi hadi mkulu mwenyewe anapumulia oxygen!
 
Afadhali sisi hatufichi chochote kuhusu huu ugunjwa wala hatudanganyi wananchi kuhusu uwepo wake. Ona sasa mlivyoumbuka baada ya kukana uwepo wa kirusi hadi mkulu mwenyewe anapumulia oxygen!
So hamfichi chochote kwahiyo hamfi au sio [emoji3][emoji3][emoji117][emoji216][emoji3545][emoji3545]
 
So hamfichi chochote kwahiyo hamfi au sio [emoji3][emoji3][emoji117][emoji216][emoji3545][emoji3545]
And that's where the difference is. Sisi tunakufa na tunatangaza na dunia inajua. Nyinyi mnakufa hadi ikuluni ila bado mnaamisha wananchi wenu na dunia kwamba hamna kirusi. Si unaona mlivyo wajinga?
 
Alaf kwann munamzunguzmia magufuli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] Tony254

View attachment 1717457
Umerudi!
Nicxie kuja hesabu waliovaa barakoa [emoji23][emoji23][emoji23]
Afadhali sisi hatufichi chochote kuhusu huu ugunjwa wala hatudanganyi wananchi kuhusu uwepo wake. Ona sasa mlivyoumbuka baada ya kukana uwepo wa kirusi hadi mkulu mwenyewe anapumulia oxygen!
 
Kwahiyo hiyo ndiyo fact [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji86][emoji86][emoji205][emoji205][emoji1139][emoji117][emoji216][emoji3545]
The fact is, you don't produce any movies.
 
And that's where the difference is. Sisi tunakufa na tunatangaza na dunia inajua. Nyinyi mnakufa hadi ikuluni ila bado mnaamisha wananchi wenu na dunia kwamba hamna kirusi. Si unaona mlivyo wajinga?
Kwahiyo ukimwi, marelia, chorela, cancer, tuberculosis n.k zinapoua Wakenya huwa kila siku mnaitangazia dunia au sio [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji86][emoji86][emoji90][emoji90][emoji1139][emoji117][emoji216][emoji3545]
 
Kwahiyo ukimwi, marelia, chorela, cancer, tuberculosis n.k zinapoua Wakenya huwa kila siku mnaitangazia dunia au sio [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji86][emoji86][emoji90][emoji90][emoji1139][emoji117][emoji216][emoji3545]
Sijui marelia ni ugonjwa gani ila there's something about providing data in the middle of a pandemic that you don't and won't know coz you come from Tanzania. Mngejua hilo, kirusi haingepenya hadi ikukuni na mtafute usaidizi kwetu sisi tunaotoa data na tulikuwa kwenye lokudown. They say karma is a biach!! 😂 😂
 
Wakenya hawataki ss kukubali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
In the next century? I thought you've been saying here that you are at 95% now? So in the next 100 years you will be connecting just the remaining 5%? 😂 😂
 
Back
Top Bottom