Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alaf yalivo mafala wako busy na magufuli wakat wanajamba cheche

Afadhali sisi hatufichi chochote kuhusu huu ugunjwa wala hatudanganyi wananchi kuhusu uwepo wake. Ona sasa mlivyoumbuka baada ya kukana uwepo wa kirusi hadi mkulu mwenyewe anapumulia oxygen!
 
Afadhali sisi hatufichi chochote kuhusu huu ugunjwa wala hatudanganyi wananchi kuhusu uwepo wake. Ona sasa mlivyoumbuka baada ya kukana uwepo wa kirusi hadi mkulu mwenyewe anapumulia oxygen!
So hamfichi chochote kwahiyo hamfi au sio
 
And that's where the difference is. Sisi tunakufa na tunatangaza na dunia inajua. Nyinyi mnakufa hadi ikuluni ila bado mnaamisha wananchi wenu na dunia kwamba hamna kirusi. Si unaona mlivyo wajinga?
Kwahiyo ukimwi, marelia, chorela, cancer, tuberculosis n.k zinapoua Wakenya huwa kila siku mnaitangazia dunia au sio
 
Kwahiyo ukimwi, marelia, chorela, cancer, tuberculosis n.k zinapoua Wakenya huwa kila siku mnaitangazia dunia au sio
Sijui marelia ni ugonjwa gani ila there's something about providing data in the middle of a pandemic that you don't and won't know coz you come from Tanzania. Mngejua hilo, kirusi haingepenya hadi ikukuni na mtafute usaidizi kwetu sisi tunaotoa data na tulikuwa kwenye lokudown. They say karma is a biach!! 😂 😂
 
Back
Top Bottom