Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We mwehu kama wehu wengine uko kwenu .. kila mtu au msanii huwa na umaarufu kwenye mtandao fulani kwasababu ya matumiz yake kwenye huo mtandao,vanny hapost chochote uko Twitter . Atapata vipi followers wengi.? We ni tahira tu ,sitakujibu tena chizi wewe
Bwahahaha!!kubali tu kwamba vanny nguvu anazotumia na uwezo wake tofauti kabisa
100k followers kuvimba kote kule jamani
 
Leo wabongo nko na nyinyi, nipo free sana..
Si nyie mnajikuta wajuaji na wabishi wa kila kitu, hapa ni hoja kwenda mbele..manake tayari nimeshaona wengine wanapumulia mashine sai wamebaki kutupia matusi tu na kejeli..
 
Hoja kwishaaa...
Unaweza ukaongezea na matusi juu yake pia
20210305_135521.jpg
 
Bwahahaha!!kubali tu kwamba vanny nguvu anazotumia na uwezo wake tofauti kabisa
100k followers kuvimba kote kule jamani
Mziki hauuzwi Twitter pungu wewe .. nenda kaangalie streaming na downloads uone, kichaa kweli we jamaa. Nenda kwenye digital platform uone kama kuna mkunya hata mmoja anamfikia vanny,tako kweli. YouTube pekee vanny ana 2.4m subscribers,insta 6.1m followers .kama yupo mkunya yeyote anaefika hizo level leta evidence then nijitoe jf . His album now has 200m streams in all digital platform n guess what unajua ni pesa kiasi gani vanny anaingiza.?
 
Hata SABC ya Sauzi Afrika inafuatilia kwa karibu mjadala wa Wakenya
View attachment 1721941
Wapo millions ya watanzania hawamjui Rais wa Kenya

Mkiambiwa bila Tanzania hakuna maisha Kenya mnakasirika
Suala la Magufuli ni mjadala wa kitaifa Kenya nzima, ukigeuka upande huu Kenya nzima ni sukari ya zuchu, ukigeuka huku Kenya nzima ni league ya Tanzania Bara, the other side Kenya nzima ni Bongo movies

Yaani Tanzania ni kama Marekani ya ukanda huu, huko Burundi, Rwanda, DRC, Malawi, Mozambique, Uganda, Zambia na wenyewe hivyo hivyo kwa Tanzania
 
Wapo millions ya watanzania hawamjui Rais wa Kenya

Mkiambiwa bila Tanzania hakuna maisha Kenya mnakasirika
Suala la Magufuli ni mjadala wa kitaifa Kenya nzima, ukigeuka upande huu Kenya nzima ni sukari ya zuchu, ukigeuka huku Kenya nzima ni league ya Tanzania Bara, the other side Kenya nzima ni Bongo movies

Yaani Tanzania ni kama Marekani ya ukanda huu, huko Burundi, Rwanda, DRC, Malawi, Mozambique, Uganda, Zambia na wenyewe hivyo hivyo kwa Tanzania
Umeongea kishabiki sana ila ndo hivyo. Uzalendo siyo kitu mbaya
 
Wameumbuka tena 🤣🤣🤣🤣🤣 komora096
So you expect them to come out in the open and admit that indeed they have him as a patient? Magu is a president and how you expect his whereabouts to be publiced is laughable. I remember when Obama came to Kenya, everyone was speculating that he was booked at The Villa Rosa Kempisky. The hotel management went public to deny such claims when indeed Obama's entourage was booked at the hotel. Palipo na moshi hapakosi moto
 
Wapo millions ya watanzania hawamjui Rais wa Kenya

Mkiambiwa bila Tanzania hakuna maisha Kenya mnakasirika
Suala la Magufuli ni mjadala wa kitaifa Kenya nzima, ukigeuka upande huu Kenya nzima ni sukari ya zuchu, ukigeuka huku Kenya nzima ni league ya Tanzania Bara, the other side Kenya nzima ni Bongo movies

Yaani Tanzania ni kama Marekani ya ukanda huu, huko Burundi, Rwanda, DRC, Malawi, Mozambique, Uganda, Zambia na wenyewe hivyo hivyo kwa Tanzania
Mkuu hapa umeandika ukweli mtupu na wakikuambia uthibitishe nitakuja kujazia nyama vithibitisho vyako.
 
Back
Top Bottom