Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
MATAGA nyie mnakuwaga forever in denial. Lakini msiwe na wasiwasi wowote, habari kamili zitawafikia tu ๐๐๐๐
Hahaha. Rafiki utauwa Malazy kwa pressure.
MATAGA nyie mnakuwaga forever in denial. Lakini msiwe na wasiwasi wowote, habari kamili zitawafikia tu ๐๐๐๐
MATAGA nyie mnakuwaga forever in denial. Lakini msiwe na wasiwasi wowote, habari kamili zitawafikia tu ๐๐๐๐
Dereva wa lori alikufa akiwa safarini hakuuliwa na mtu na kama kuna media ilisema ameuliwa nitag๐๐๐Mpost na yule aliyemuua dereva wa lori
MATAGA nyie mnakuwaga forever in denial. Lakini msiwe na wasiwasi wowote, habari kamili zitawafikia tu ๐๐๐๐
Inamaana hamuna service zingine au umekaririshwa likoni tu ๐ ๐ ๐Hatulipii likoni ni bure, kwhyo hatuhitaji huo upuuzi hku
Magu anajuwa sn kunata na beats, siku c nyingi utasikia kampiga chini kiongozi fulani alafu wala hatozungumzia habari zilizoongelewa kumhusu, hapo ndipo Wakenya na haters wengine wanapochoka na hiki chuma.
cz habari ndogo ndogo km hizo zinamalizwa na wateule wake 




Mumekosa official source ๐๐๐ bado munahangaika na magufuli wengine wamesema ni waziri wa afya lakini habari kamili imekuja ni raila odinga au bado unapinga ๐๐๐๐Hata SABC ya Sauzi Afrika inafuatilia kwa karibu mjadala wa Wakenya
View attachment 1721941
Mjadala wa Wakenya kwenye nini, tukisema mnatufuatilia mnakataa yn rais wa TZ mjadala utakuwaje wa Wakenya.Hata SABC ya Sauzi Afrika inafuatilia kwa karibu mjadala wa Wakenya
View attachment 1721941
kesho anafikisha 1mView attachment 1721301