Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Magu anajuwa sn kunata na beats, siku c nyingi utasikia kampiga chini kiongozi fulani alafu wala hatozungumzia habari zilizoongelewa kumhusu, hapo ndipo Wakenya na haters wengine wanapochoka na hiki chuma.

NB. Wala hatozungumzia suala la mahindi cz habari ndogo ndogo km hizo zinamalizwa na wateule wake
 
I'm just so disappointed with some of my fellow Tanzanians no lie... the hate trend on JPM on Twitter dammm.... kisa life gumu tu jeee ange tubania kabisa jee sindo ingekua vita...sijui wathani other countries its any better na ukiangalia na health crises ya saivi..it just shows how sometimes people can be selfish n self centered and not understanding JPM taking the risck wich the future Kids n grand kids of Tanzania will benefit n leave better compare to the one we hv right now....

patriotism nikitu muhimu sana ambacho naona education system ya Tz in tatakiwa include on Tz syllabus lasi hvyo kutoboa ita ngumu sana kama taifa... na mabeberu wanajua hii ndo our weakest link n they will always take advantage of it...

lakini Inshalah Mungu ata tusaidia tu na Tanzania will be one of the country's to be admired, strong and respected in the world na sio kwamba saivi is not recognized but it will even be better n even the best in God's name Amen...๐Ÿ™๐Ÿพ
 
Hata SABC ya Sauzi Afrika inafuatilia kwa karibu mjadala wa Wakenya
2711281_1615368105954.png
 
Hata SABC ya Sauzi Afrika inafuatilia kwa karibu mjadala wa Wakenya
View attachment 1721941
Mumekosa official source ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ bado munahangaika na magufuli wengine wamesema ni waziri wa afya lakini habari kamili imekuja ni raila odinga au bado unapinga ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom