Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya kwenye twitter tuko vizuri, huo ndio ukweli hata sijui unacheka nini. Uhuru alikuwa na followers wengi kushinda rais yeyote ukanda huu kabla ya kutoroka twitter kwa kichapo alichokuwa akipokea kutoka kwa Wakenya.
Kwanza ukiangalia followers wa yule msanii wao mkubwa twitter utacheka mzee baba...
Wengine wa pale pale wasafi hta milioni imekua balaa kufikisha..
 
Kwahiyo unamaanisha kwamba Uharo Kunyatta ni mashuhuri kuliko JPM?
Twitter ndio kila kitu katika viongozi, punguza hasira lkn we najua kw akili zako umashuhuri ni kuwa followers wengi insta
Ikiwa domo tu anaiwakilisha tz poa lkn twitter milioni inamshinda kufikisha
20210310_160141.jpg
 
Kwahiyo unamaanisha kwamba Uharo Kunyatta ni mashuhuri kuliko JPM?
Kwenye twitter alikuwa na followers wengi kushinda rais yeyote Afrika nzima kabla ya yeye kutoroka. Hio ni fact yenye haipingiki. Wakenya wapo wengi sana kwenye twitter. Sijui ni kwa nini Wakenya wanapenda twitter. Watanzania mpo wengi instagram kwa sababu ya kutazama mapicha na mavideo. Twitter huwa inawashinda maana ni kiingereza kinachotumika sana kule. Na kiingereza huwa imewalemea sana.
 
Kwenye twitter alikuwa na followers wengi kushinda rais yeyote Afrika nzima kabla ya yeye kutoroka. Hio ni fact yenye haipingiki. Wakenya wapo wengi sana kwenye twitter. Sijui ni kwa nini Wakenya wanapenda twitter. Watanzania mpo wengi instagram kwa sababu ya kutazama mapicha na mavideo. Twitter huwa inawashinda maana ni kiingereza kinachotumika sana kule. Na kiingereza huwa imewalemea sana.
Nimekuuliza who's the most popular leader btn Magu and Uhuru?
 
Wewe unajua mpk jina la mtoto wa rais wangu wkt mm hata mke wa rais wako simjui.
Heheee!!mnafiki katika kiwango chake..
Comment yako naihifadhi najua kuna situ utakuja kuongelea maswala yetu siasa za mpka county level...nitakukumbusha tu..

Alafu baba jesicca nalitoa hko katika jukwaa la siasa, nimepata majina mengi sana..km vile meko pia
 
Back
Top Bottom