Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Muache huyo ni mirungi inaongea...😂😂 ... Twitter it's the most toxic app has ever happened in human kind
 
komora sikuizi ndio uko kinyume na ukweli kabisa, twitter ndio kuna mijadala ya umbea ilhali insta na youtube ndio mapichapicha ya mitoko ya maartists. Tangulini ukakuta mijadala insta au youtube, sasa huyo msanii twitter anapost mashairi au?
Nitajie wasanii wakubwa wanaopachika habari zao insta acha mitoko sijui na kiki, habari za mhimu..ukileta mi natoka jf
 
Mtanzania wa kawaida ana followers wengi instagram kuliko wasanii wengi wakubwa wa kenya.

Watanzania wanavuna mikwanja mizuri kupitia matangazo kwenye mtandao wa instagram.

Kuna page za Watanzania wa kawaida ziko verified insta.

(Nilikuwa sahihi kuandika kuwa hutonipa jibu la kueleweka zaidi ya kuandika ujinga)
Kw sababu watanzania wa kawaida wanapenda sana kiki na umbea kuliko wasanii wa kenya..
Niletee msani wa tz ambae ana milion followers twitter nikulipe
 
Eti insta inaongoza kwa pic za ngono? unaijua Twitter wewe... ni formal porn site mixer onlyfans btch plz
Ona sasa unavyoparamia kitu ambacho hujakielewa, kuna mtandao ambao unavujisha video za kipuuzi na umbea km insta
 
Nitajie wasanii wakubwa wanaopachika habari zao insta acha mitoko sijui na kiki, habari za mhimu..ukileta mi natoka jf
habari za wasanii wakubwa ni zipi???,naona unaandika tu kama umelewa wewe muuzaji.

post kama hii mtu kapiga pesa ya matangazo kibao hapo chini,huko twitter kuna nini cha maana zaidi anapost!!!!
hata ukiangalia mitandao inayoongoza kwa kulipa wasanii utajiona mjinga.
Screenshot_20210310-185420.jpg
 
Hapo vipi,
Kwanza inatia aibu haswa..yani ndio utajua km hamna lolote zaidi ya umbeaView attachment 1722027View attachment 1722028
We mwehu kama wehu wengine uko kwenu .. kila mtu au msanii huwa na umaarufu kwenye mtandao fulani kwasababu ya matumiz yake kwenye huo mtandao,vanny hapost chochote uko Twitter . Atapata vipi followers wengi.? We ni tahira tu ,sitakujibu tena chizi wewe
 
habari za wasanii wakubwa ni zipi???,naona unaandika tu kama umelewa wewe muuzaji.

post kama hii mtu kapiga pesa ya matangazo kibao hapo chini,huko twitter kuna nini cha maana zaidi anapost!!!!
hata ukiangalia mitandao inayoongoza kwa kulipa wasanii utajiona mjinga.View attachment 1722148
Kheee!!
We jamaa kweli bogas sana walai, birthday ni nn sasa
 
We mwehu kama wehu wengine uko kwenu .. kila mtu au msanii huwa na umaarufu kwenye mtandao fulani kwasababu ya matumiz yake kwenye huo mtandao,vanny hapost chochote uko Twitter . Atapata vipi followers wengi.? We ni tahira tu ,sitakujibu tena chizi wewe
siku hizi watu wanakaba ticktok,nako wataachwa waje waanze utetezi wa kishamba hivi hivi.

kumbe tatizo bandle,maana insta,youtube,na ticktok hutumii kama hela ya kula tu ni mtihani.
 
Kheee!!
We jamaa kweli bogas sana walai, birthday ni nn sasa
unashangaa birthday,badala ya kuangalia kiatu hicho wewe masikini!!!!!

ndio maana hujui hata insta ina role gani kwenye maisha ya msanii.
 
Lazima ujiulize kwa nini awamu hii tuu?

Patriotism haijengwi kwa vitisho ila kwa fair ,ndio maana tunawaambia Gadafi alikuwa anagawa hadi mahari watu waoe lakini alikufa na hakuna anemsikitia hata kama watu wanapata shida kwa kuwa alikuwa anakandamiza wenzio na kujisifu,binadamu sio mbuzi kwamba utamfuga
Hili sio swala laa awamu hii kwanzia enzi za nyerere it has always been that way ... watu kulalamika but now it's different story... wana muita Baba wataifa n no body will ever deny he was great man despite all dat.... afu as long is for a good course sacrifice have to be taken for things to progress ndo kitu wa Africa wengi hatujaelewa and it's in the name of democracy. We unathani marekani au England are up there because of democracy? Think again mr opportunity cost 🤣... yani wazungu katika kitu walicho jipanga ni kutubeba kiakili.... but one day yess tutatoka kwenye hizi mediocre mindset n think in a bigger picture... one day
 
Back
Top Bottom