Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakunya kwenye foleni wakipewa dose
 
EAST AFRICA sio Tanzania pekee na hii ni battle ya kimaendeleo sio chuki kama unavyo dhani na hata baadhi viongozi naimani hii battle wanaijua kiufupi hatuna chuki na kenya hutasikia hata siku moja tunashangilia JWTZ kupeleka vifalu kenya au KDF kuleta vifalu TZ mkuu hata ukiasoma thread description inajieleza na kama ikitokea vita vya kulipuana mabom Tz na Ke nalo litafunguliwa thread ila tusiweke chuki za namna hiyo moyoni naamini hawakosekani wakenya ambao nao watasema wametendewa vitu vya hovyo na wabongo hayo yapo tu

NB. ningumu sana kumkuta mkenya huko nje ya Africa akasema ametokea kongo kama kutaja nchi yake italeta shida wengi husema ametokea TZ na kwa mtanzania ni hivyohivyo ni husema kenya
Mkuu km unadhani hii battle ni ya mzaha basi endelea kudhani hivyo ila ukweli ni kwamba Wakenya cvyo km unavyofikiria wewe, ni wako serious wana chuki na Tz, ni washenzi na wasiokuwa na utu kabisa, hukumbuki MP wao fulani cmjui jina alivyosema wafanyabishara wa Tanzania warudishwe kwao? Huoni chuki za wazi wazi wanazotupakazia? Hatuna urafiki wala undugu na wanafki hawa tangu enzi za Nyerere wameendelea kuwa wanafki dhidi ya TZ mpk leo.

Hakuna jirani anayeelewana naye, kama wewe unaweza kuungana nao ni sawa ila co Watz amini ninachokuambia.
 
Back
Top Bottom