Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa hiyo si kama sauna tu ?? Yani watu wanata kumharibia JPM tu.. lakini watashindwa .. hawajui kupitia Magu, God got us haven sent huyo.. lkn mta elewa tu
Unafikiri anajua hata sauna ni nini basi!? Mimi nakumbuka mwaka 2014 pale chuo cha kilimo Uyole, kuna jamaa flani wazungu kutoka Sweden walikuja kufanya field. Miongoni mwa stori walitupatia ni hiyo sauna na namna inavyofanyika.

Walituacha midomo wazi walipotwambia kuwa wakiendaga kujifukiza wanakuwa naked na hawajali hata kuchanganyikana na wazazi fresh tu! Na wao wakabaki kutushangaa tulipowashangaa kukaa nakes na wazazi. Tukawaambia huku ni mwiko hata kuona paja la mzazi. Wakatuona kama watu wa ajabu, kwani kitu gani!

Sasa hiyo ni 2014 mimi nimejua kuwa kumbe nao wanajifukiza kama Okonkwo alivyomfukiza mwanae kwenye "Things fall Apart". Hawa majirani zetu "wazungu" wanaona kujifukiza kama uchawi hivi.
 
Alaf kwann munamzunguzmia magufuli Tony254

View attachment 1717457
Kuna yule msanii wao aliwachana ukweli "wajinga nyinyi". Ni kama hawa wanaojiita wapinzani wa hapa kwetu wanaotuhumu serikali kuendekeza mikusanyiko na kutovaa barakoa. Ikifika wakati wa kampeni na wao wanafanya mikusanyiko na hawavai barakoa. Uchaguzi ukiisha wanaanza tena wimbo wao. Pathetic.
 
For your info Trela haitakiwi sana kupita maeneo haya kwa sababu mbili. Kwanza Trela zinaharibu barabara na kufanya maintenance cost kuwa juu. Pili Trela kwanza zilizobeba mizigo zinakwenda kwa mwendo wa mzee kobe. Yaani pole pole na unajua kwenye expressway gari zinastahili kusonga kwa mwendo wa kasi ili zisizuie gari zingine kupita. Lazima zichargiwe pesa nyingi. Lorry zimejengewa barabara mbadala ya kupitia. Zinaweza kupitia Bypasses
Huu ndiyo ujinga Magu alikataa kwenye Dar - Chalinze express way km 123. Hao wafadhili waliweka sharti kuwa iwe na toll tena njia nne tu. Yeye kawaambia sasa kaeni hapo muangalie ninavyotandaza njia nane na watu watapita bure. Kwa rasilimali tulizonazo Afrika ni wendawazimu kuwatoza watu kutumia barabara au madaraja. Serikali yenu iache rushwa. Ikusanye kodi ijenge miundombinu, watu wapite bila chaji.
 
ngoja tuone.. nyie wenyewe mtaomba tuwaletee mahindi

nchi yenu ni very vulnerable to hungry (starvation) at any time
mature up si kila kitu ni battle...aflatoxins ni harmful sana kwa binadamu
 
Ni kweli huo uongo kwamba TZ haina corona ilifanya kazi nzuri kiuchumi kwani mlipata watalii wengi hususan Warusi ambao hawajali mambo ya corona ila negative effects ya policy hio imeanza kuonekana pale ambapo Watanzania wameanza kufa kwa wingi.
Nilidhani labda una uelewa flani, kumbe nilikuwa chaka. Kauli za hakuna corona ni baada ya kulishinda wimbi la corona ya mwaka jana.

Immediately baada ya kuibuka tena Januari mwaka huu Rais alinukuliwa akisema kuwa kuna watu wameenda kuchanjwa huko nje wamekuja na corona ya ajabu ajabu hivyo tuchukue tahadhari kama tunavyoshauriwa na wataalam "wetu". Pia tumtangulize Mungu.

Sasa kama hiyo kauli kwako inamaanisha hakuna corona basi unahitaji kufanyiwa maombi.
 
Hahahahaaaaa ni kweli corona ipo kwa ss ila ndio imeshapotezewa na inaondoka hiyoo, unajua Magu ana maono mapana sn km angetilia mkazo basi huu ugonjwa ungesumbua sn km kwenu unavyokula vichwa vya Wakenya, na ndiyo maana unaona Magu ni km amewakataza wateuliwa wake kuvaa mask cz wapo vitani so ni lazima waji sacrifice kama unavyoona wanajeshi vitani na sio wewe kiongozi unayepaswa kuwatoa hofu wananchi ndio unaongoza kuvaa barakoa kuubwaaa, simple and clear hakuna kiongozi aliye chini ya mamlaka ya Magu ataruhusiwa kuvaa barakoa na km hataki aandike barua ya kujiuzulu, ivyo yani
Kenya wao wanapigana vita kiutandawazi. Amiri jeshi mkuu anaangalia kwanza wadau (kama WHO) wanataka mbinu gani zitumike! Funny. Vita vinahitaji kiongozi anayeweza kuona ambapo wengine hawaoni. No wonder corona 2.0 inaisha Tz wakati kwingine ndiyo kwanza kunakucha.
 
Kwa mkondo wa capitalism mlio chukua, and with the bigger populace having weak mental frame hawawezi kufikiria zaidi ya pua , it is a recipe' for extreme poverty numbers, as economy grows, the more poor people will suffer, unless software ndani ya vichwa vyenyu vibadilishwe, ata mkijenga SGR mia, na flyovers elfu, na vigorofa, bado haitakomboa mtanzania wa kawaida, ni wajanja tu wataomoka, na kuwafanya wanyonge kama wewe vijakazi na malipo duni. Capitalism ni ya mwenye nguvu, mvivu na hafifu(the middle name of most Tanzanians) hana lake hapa., the reason licha ya kukua kwa uchumi wenu, in 2020 report from data ya 2019/2020 world bank, umasikini wa kutupwa uliongezeka, mkaipiku Ethiopia walio beba huo ubingwa kwa miaka mingi. Think seriously, and reason, wacha ushabiki...

View attachment 1718003
Akili hizi, kweli kila mtu ana zake. Unasema atleast 20m Tanzanians are extremely poor because they spend less than a dollar per day. But the same people are peasants who produce their own food so they just need to spend mostly on manufactured consumables and services which are less than 25% of their daily expenditures.

Hapo hapo una Kenyans unaowaita middle class. Uzalishaji kwao unafanywa na watu wachache hivyo hata food products ambazo kwa tz ni cheap almost bure kwao ni expensive.

That way una "rich" Kenyans wanaoishi maisha magumu kuliko "poor" Tanzanians who are just living their natural and simple life. You guys must be brainwashed, siyo bure.
 
Akili hizi, kweli kila mtu ana zake. Unasema atleast 20m Tanzanians are extremely poor because they spend less than a dollar per day. But the same people are peasants who produce their own food so they just need to spend mostly on manufactured consumables and services which are less than 25% of their daily expenditures.

Hapo hapo una Kenyans unaowaita middle class. Uzalishaji kwao unafanywa na watu wachache hivyo hata food products ambazo kwa tz ni cheap almost bure kwao ni expensive.

That way una "rich" Kenyans wanaoishi maisha magumu kuliko "poor" Tanzanians who are just living their natural and simple life. You guys must be brainwashed, siyo bure.
👏👏👏👏👏👏
 
wakenya kwa sasa hawana sera wameishiwa kilichobaki ni kutapa tapa,,,

miaka yote hiyo mlikuwa mnangojea nini,mpaka leo hii ndiyo mseme kuwa mahindi yana sumu

kwisha habari yenu
20210305_234256.jpg
 
wakenya kwa sasa hawana sera wameishiwa kilichobaki ni kutapa tapa,,,

miaka yote hiyo mlikuwa mnangojea nini,mpaka leo hii ndiyo mseme kuwa mahindi yana sumu

kwisha habari yenuView attachment 1718268
nimecheka sana yaani miaka yote sumu hawakuiona wanakuja kuiona leo
Hawa ni satanic country na cku zote huwa nasema tuna bahati mby sn kuwa karibu na jirani mshenzi na mwenye roho mby km huyu.
 
Back
Top Bottom