komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kwn polio na za uzazi zinafanana kw lipi, mbna mkeo anaenda kudunga..kwahiyo corona inafanana na hayo uliyoyataja kwa kipi!!!!
mbona hata kutumia akili hamtaki??
Acheni kubebewa akili nyie, hakuta kitu kibaya km kupuuza bila ya wewe kuwa na mbinu mbadala..
Hapo unapinga alafu kesho uskie jiwe kaangiza utakuja hapa kusifu, bwege ni bwege tu mjomba


